Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

hahahaaaa hapo sawa na hatuta funga ndoa naye mpaka apate kazi maana alitaka mwanaume mwenye kazi
 
Mwanangu soma kwanza,maliza chuo ndipo ufikirie kuolewa! Siku hizi hakuna ndoa za maana tena kwa dini yako ambayo Mwanamme anakuita"Njoo leo" harafu kesho anakwambia"toka" ukigoma anakupandisha cheo,afadhari usome upate elimu yako kwanza mambo mengine baadaye! Mbali na hapo bado umri wako ni mdogo kuolewa!
Waulize waliokutangulia watakusimulia!
 
Tafuta njia ya Eden ukifika chukua udongo wako finyanga aina hiyo ya mwanaume unaemtaka maana huku duniani hawapo kila la kheri.
 
Yaaani awe mume, halafu asiombe sex kabla ya ndoa, unaelewa lakini ulichoandika?
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Ww jioe tu
 
Back
Top Bottom