Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

karibu tukielewana naoa ndani ya week 2 tu but shart langu ni kupima magonjwa yote tukiwa ote kama uko tayar karbu pm tuongee
 
Kama mna chemistry ya kutosha, mtajikuta mmpendiana kabla ya kuombana game.

semper fidelis
 
Mkuu mume huyo kwa sasa duniani hayupo,,
alishakufa zamani kwenye gharika ya Nouh.
Wanaume tuliopo sasa ni lazima tuonje...
Tena sio Mara moja...
Ukitaka bila kuonjwa basi na ww uwe bikira...
 
Pole mpendwa huku hupati hao wanaume wa hvyo weng wao wapitanjia .. nenda msikitini mweleze shekh umpe na mashart yote hayo atawaeleza vijana wanaohitaj mwenza na utapata wenye dini Inshaallah...huku hakuna wanaume mpenz ni vitombi tupu
I feel you. Umeongea kwa unyonge sana dah!

Ana miaka 21 tu. Sidhani kama yuko desperate namna hiyo. Angekuwa amegonga thete plasi huko labda....
 
Hatoomba sex kabla ya ndoa" inamaana iko sealed? Kama sivyo wakati anasubiri ndoa lazma wanamega mkate jamaa
 
Mume huyo hayupo
 


Hapo kwenye kazi katika zama hizi za layoffs kibao!!!, hebu legeza kidogo na useme "mwenye kazi na anayetafuta kazi".

Unajua siku hizi kuoa ni rahisi kuliko kuolewa??---taking into account womens outnumber men, punguza masharti dada.
 
C kwa sababu ya kuficha kitu Ila ni kwasababu zengine . Km Ila aweke wazi kipi hapendi kipi km nkikudanganya talaka zipo
Ungekuwa bikra sawa.

Ucharazwe mpaka uchoke ndo uniwekee masharti. Weeeeeee
 
Kama hunogi je?
Mama njoo tuonjane, km unanoga nakuoa nakuweka ndani km hunogi mama pita kushoto
 
Una ulemavu kwenye viungo vya uzazi mpaka unataka umuuzie mkaka wa watu mbuzi kwenye gunia aje augundue ameshasaini mkataba wa maisha eeh??
 
Eboo sex mpaka ndoa we ulisikia wapi.. We uliskia wapii?


Kwanzaa chura ipo ? pengine tunaweza vumilia Kama ipo kwa kuitazama tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…