Nahisi kama napoteza mahusiano na mzazi

Nahisi kama napoteza mahusiano na mzazi

Huyu dogo mi nampenda ila hata mi ningekua mama yake lazima ningekua nqmbananisha sana.
Imagine bangi.
Ni atheist halafu kuna sehemu niliona kaandika eti yeye kwenye mizagamuano haoni shida kushikwa popote.

Ukute mzazi wake ana stress keshaona mwanae hayuko sawa.Huyu nae akirekebishwa anaona anafuatiliwa maisha yake.
pridah unanifatilia sana😂
 
Huyu dogo mi nampenda ila hata mi ningekua mama yake lazima ningekua nqmbananisha sana.
Imagine bangi.
Ni atheist halafu kuna sehemu niliona kaandika eti yeye kwenye mizagamuano haoni shida kushikwa popote.

Ukute mzazi wake ana stress keshaona mwanae hayuko sawa.Huyu nae akirekebishwa anaona anafuatiliwa maisha yake.
Yaani hupo.sahihi kabisa mimi kitu kinanikela sana kwake mda wote yupo jf hapa yaani akiamka ile saa tano ngoma iyo jf atoki mpaka saa 8 usiku kila thread yeye yupo kama inzi huo muda anaotumia kuchat hapa si angekuwa anarekebisha mahusiano yake na familia
 
hebu nishaurini kwa mtazamo wenu nifanyeje ili kurudisha mahusiano na mzazi....
Waheshimu baba na mama yako ili upate kuishi miaka mingi.

Iwapo utaitii hiyo amri ugomvi wako na mzazi utaisha mara moja.

Acha kumdharau mzazi, akikwambia njoo nenda, usipoenda atakuhesabu wewe ni mwana unayemdharau.

Acha dharau kijana.
 
Yaani hupo.sahihi kabisa mimi kitu kinanikela sana kwake mda wote yupo jf hapa yaani akiamka ile saa tano ngoma iyo jf atoki mpaka saa 8 usiku kila thread yeye yupo kama inzi huo muda anaotumia kuchat hapa si angekuwa anarekebisha mahusiano yake na familia
Imagine.
Na ni mwanafunzi.
Na hana mpango wa kuendelea zaidi na masomo.
Inaonekana hapendi shule.

Kweli mzazi atakua na amani?
 
Yaani hupo.sahihi kabisa mimi kitu kinanikela sana kwake mda wote yupo jf hapa yaani akiamka ile saa tano ngoma iyo jf atoki mpaka saa 8 usiku kila thread yeye yupo kama inzi huo muda anaotumia kuchat hapa si angekuwa anarekebisha mahusiano yake na familia
Hee kweli inaonekana anakukera🤣😂😂😂 comments zako ni nyingi humu Mshamba endelea kuchukua notes
 
Tuna changamoto nyingi na wazazi wetu, ila tunapaswa kuwapenda, kuwaheshimu na kuwatii maana ndo tunu na ngao juu ya maisha yetu.

Mpende na kumthamini sana mama, naamini anakupenda na anakuhitaji ukawe msaada wake wa kesho.
 
Back
Top Bottom