Pridah
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 1,495
- 3,453
Ushamvuruga.hamna😅 nimemuambia juu juu tu hajacomment chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamvuruga.hamna😅 nimemuambia juu juu tu hajacomment chochote
diniKama vipi?
Ndo ivo mkuuAise hatari sana. Haya mambo Kama hayajakukuta huwezi elewa
pridah unanifatilia sana😂Huyu dogo mi nampenda ila hata mi ningekua mama yake lazima ningekua nqmbananisha sana.
Imagine bangi.
Ni atheist halafu kuna sehemu niliona kaandika eti yeye kwenye mizagamuano haoni shida kushikwa popote.
Ukute mzazi wake ana stress keshaona mwanae hayuko sawa.Huyu nae akirekebishwa anaona anafuatiliwa maisha yake.
Yaani hupo.sahihi kabisa mimi kitu kinanikela sana kwake mda wote yupo jf hapa yaani akiamka ile saa tano ngoma iyo jf atoki mpaka saa 8 usiku kila thread yeye yupo kama inzi huo muda anaotumia kuchat hapa si angekuwa anarekebisha mahusiano yake na familiaHuyu dogo mi nampenda ila hata mi ningekua mama yake lazima ningekua nqmbananisha sana.
Imagine bangi.
Ni atheist halafu kuna sehemu niliona kaandika eti yeye kwenye mizagamuano haoni shida kushikwa popote.
Ukute mzazi wake ana stress keshaona mwanae hayuko sawa.Huyu nae akirekebishwa anaona anafuatiliwa maisha yake.
Yeye ana amini nini na wewe una amini nini?dini
Waheshimu baba na mama yako ili upate kuishi miaka mingi.hebu nishaurini kwa mtazamo wenu nifanyeje ili kurudisha mahusiano na mzazi....
siamini chochoteYeye ana amini nini na wewe una amini nini?
anamuona mzazi kama mdogo wake vileSijui kama bangi aliacha ila kuna vitu anatakiwa kuviacha kabisa yaani awe anavisikia tu hasa bangi mtu akivuta anajiona yeye ndio.yeye
Je ilikuwaje mpaka mzaz wako akajua kuwa uamin chochote?siamini chochote
nilimuambia, simfichagi kituJe ilikuwaje mpaka mzaz wako akajua kuwa uamin chochote?
Nakupenda ndo mana (Sio kivile)pridah unanifatilia sana😂
Imagine.Yaani hupo.sahihi kabisa mimi kitu kinanikela sana kwake mda wote yupo jf hapa yaani akiamka ile saa tano ngoma iyo jf atoki mpaka saa 8 usiku kila thread yeye yupo kama inzi huo muda anaotumia kuchat hapa si angekuwa anarekebisha mahusiano yake na familia
pridah mbona unanijua sana, unaniogopesha😅Na hana mpango wa kuendelea zaidi na masomo.
Kama wewe ni atheist ni sawa ila ulitakiwa uhakikishe mama yako hajui.Kwani ukijifanya unaamini kumuepushia presha mama yako utakufa?siamini chochote
bora tu nimuambie ukweli nisiteseke moyoniKama wewe ni atheist ni sawa ila ulitakiwa uhakikishe mama yako hajui.Kwani ukijifanya unaamini kumuepushia presha mama yako utakufa?
Hee kweli inaonekana anakukera🤣😂😂😂 comments zako ni nyingi humu Mshamba endelea kuchukua notesYaani hupo.sahihi kabisa mimi kitu kinanikela sana kwake mda wote yupo jf hapa yaani akiamka ile saa tano ngoma iyo jf atoki mpaka saa 8 usiku kila thread yeye yupo kama inzi huo muda anaotumia kuchat hapa si angekuwa anarekebisha mahusiano yake na familia
Utamuua kwa stress mama yako.bora tu nimuambie ukweli nisiteseke moyoni