Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kwanini?ndio, ila sheesha bado bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?ndio, ila sheesha bado bado
ni ngumu, japo nimepunguza mno, naelekea kuachaKwanini?
Hela unapata wap?ni ngumu, japo nimepunguza mno, naelekea kuacha
ugali wa shkamooHela unapata wap?
mshamba_hachekwi ndio mwenyekiti wa chama hicho Cha mkono bao🤒Nijibu hili swali
.unavuta bangi??au chaputa sana??
Na bado unaleta jeuri una akili kweli?ugali wa shkamoo
Dah mzee hapo umeropoka utumbo🤒😂Punguza kuingia Jf, maana anapata wivu kwa kuhisi unachat na mtu masaa yote
tulia sasa, mbona nimekupata mkuu😅Na bado unaleta jeuri una akili kweli?
Unaakaa siku ngapi ndio unaongea na mzazi wako?
Unapitiliza siku ngapi ndio bila kuwasiliana na mama yako?tulia sasa, mbona nimekupata mkuu😅
hata mwezi😅Unapitiliza siku ngapi ndio bila kuwasiliana na mama yako?
Nakuambiaga hauna adabu, yaani leo tumekula utumbo basi umeshindwa kukaa kimya hadi Jf unatangaza...☹️Dah mzee hapo umeropoka utumbo🤒😂
Mbona mi mmeniwekea majani🤣🤒Nakuambiaga hauna adabu, yaani leo tumekula utumbo basi umeshindwa kukaa kimya hadi Jf unatangaza...☹️
Anza mazoea ya kupiga simu kila siku kumjulia hali walau siku isi ishe bila kuongea naehata mwezi😅
Kwasababu ulipo chelewa kurudi niliulizia "huyu mbuzi amesha rudi" nikaambiwa bado. Ndipo nikawaambia wakuachie ugali na matembele...☹️Mbona mi mmeniwekea majani🤣🤒
Una ikumbuka NILIVYO tumwa kuchota maji🤒, mama Ali niwekea nyama 10😂🤒Kwasababu ulipo chelewa kurudi niliulizia "huyu mbuzi amesha rudi" nikaambiwa bado. Ndipo nikawaambia wakuachie ugali na matembele...☹️
Ufanye ulale weww babuKwasababu ulipo chelewa kurudi niliulizia "huyu mbuzi amesha rudi" nikaambiwa bado. Ndipo nikawaambia wakuachie ugali na matembele...☹️
Nalalaje wakati mamaenu mmemuita huko daslam kwamba aje atibiwe, hivi kwanza nani anaijua hali ya mamenu kati ya mimi mume wake ninae ishi nae na nyie huko daslam..😕Ufanye ulale weww babu
Na tunamuozesha na mwarabu kabisNalalaje wakati mamaenu mmemuita huko daslam kwamba aje atibiwe, hivi kwanza nani anaijua hali ya mamenu kati ya mimi mume wake ninae ishi nae na nyie huko daslam..😕
Hamna adab kabisa...☹️