Nahisi kama napoteza mahusiano na mzazi

Nahisi kama napoteza mahusiano na mzazi

Kabisa. Yeye kulal saa kumi kuamka saa tano akiamka ndio bas tena anabadilisha majukwaa tu akiwamntioniwa huyo akiqoutiwa huyo yumo yani yeye yupo live kama kisimbuzi
mshamba_hachekwi una Kumbuka I was absent for more than20 days.
👉Una hisi Kama ni shamba halija limwa🤒.
👉Kama ni kibarua sijafanya🤔
 
Mwambie tu ukweli😂😂😂
mshamba_hachekwi sema nkuunganishe kwenye kibarua kesho au?
Darlin we utaolewa mpendwa, but what about us🤔.
👉Ana shuhudia ma graduators Ni wengi, but few jobs na hazilipi.
👉Tuna survive vipi, Hilo ni suala la msingi.
FB_IMG_16884151300134824.jpg
 
hii last seen siondoi waendelee kuteseka😂
Pumbavu una akili ndio maana unakorofishan na mama yako.kwa misimamo ya kijinga endelee na ujinga wako.unategema atakuja kukuambia nani? Hao wakina.@leejay unao kesha nao wanakiasi huwakut mda wote jf unaambiwa unaleta jeuri bak na jeur uone itakufikisha wapi
 
fainali uzeeni🤒, mshamba_hachekwi Kesha kijana, kula na shisha kabisa🙏
Achana nae huyo mimi nilishaanza kumkata mapema tu nilipokuja kugundua yeye na jf ni kama macho na kope na mbishi af anajifanya don't care haya utaona endelea kuvaa cheni kama utepe wa kuzindulia barabara ya mianzin
 
Back
Top Bottom