Nahisi nina tatizo kubwa la afya ya akili linaninyemelea. Wataalamu wa mambo ya saikolojia naombeni msaada mda sio mrefu nitadata

Hizo mbunye hazina uwezo wa kukuchangamsha akili na mwili?

Nenda kamuone daktari
 
Sisi wachumi bado tumekaa na calculator zetu kuona ni namna gani JF imejaza matajiri

Kama Kwa Siku unatumia 10,000 Kwa bando pekee, inaonesha Kwa Mwezi unatumia shilingi 10,000x30=300,000

Kama bando pekee unatumia shilingi 300,000 Kwa Mwezi, ni obvious zile habari za late JPM kwamba kufikia 2025 Tanzania itakuwa imeingia Uchumi wa Kati Juu ni sahihi πŸ€—

Bado kidogo tutaanza kuwapa misaada Marekani πŸ™Œ
 
hana ukame wa mbususu na bado hana raha.
Wataalam wanasema kwamba binadamu wenye raha hapa duniani ni haya makundi mawili...
1. Married man
2. Single woman

Hapo ndo ujue kwamba anayehitaji ndoa zaidi ni mwanaume na si mwanamke.
Ah wapi waongo mie nipo single nanyetuka na mlenda na napoiga porojo jf full raha...nikisikia njaa nadoea ugali mlenda wa mama wa kambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…