Nahisi nina tatizo kubwa la afya ya akili linaninyemelea. Wataalamu wa mambo ya saikolojia naombeni msaada mda sio mrefu nitadata

Nahisi nina tatizo kubwa la afya ya akili linaninyemelea. Wataalamu wa mambo ya saikolojia naombeni msaada mda sio mrefu nitadata

Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo niko single ila uhakika wa mbunye si haba nnao mda wowote nikiwa na upwiru

Ila shida yangu kubwa pamoja na mahitaji yote ya muhimu ambao naweza kuyapata lakini najiona kabisa mda mwingi sina furaha.kama siku sina kazi ya kufanya basi nisipokaa kwenye tv au nisiposhika simu yangu hiyo siku itakua ya huzuni sana kwangu

Kwa siku naweza kutumia zaidi ya 10,000 peke yake kwa ajili ya bundle tu ili nijaribu kuitafuta furaha mtandaoni ila bundle likikata narudi kwenye huzuni...nimekua addicted na simu pamoja naTV yangu kwasababu ya kukosa furaha mpka nafikia hatua usiku nalala sa8 mapak sa10 na nnachokifanya cha maana sikioni...inafikia hatua asubuhi naweza kupanga nitatoka sa1 ila nikishika tu simu najikuta imefika sa4 bado sijatoka

Kuna mda niliamini labda furaha ya kweli pekee ipo ndani ya yesu kristu kwhy niliamua mda mwigi niutumie kumtafuta mungu kwhy nilifuta kila kitu kwny simu yangu kuanzia insta.x.tiktok na social media zote mpka jamiiiforums niliifuta lakini changamoto ikaja hata kusoma mistari miwili tu ya biblia kichwa kilikua hakitaki ni huzuni tu

Kwani watanzania wenzangu mnafanyaje kupata furaha kwenye haya maisha mbona mm mda wote nakua na huzuni au mm nina tatizo la afya ya akili au nimelogwa au mtu akiwa single kwa mda mrefu ndo anakua na hali hii ili kama ndo sababu niende kumpgia goti mke wangu arudi... naomba wataalumu wa afya ya akili mnisaidie ili niweze kuondokana na hii hali najiona naelekea kudata
Si tunatafuta mume na wewe unaacha mke
 
mwanaume wa umri wako anajitaji mke na familia kwa ujumla. Utahangaika sana lakini mke ndo suluhisho la matatizo yako.
Mtaiponda hii comment lkn ukweli ndo huo.
Na hivi ndivyo kataa ndoa watakavyoishi maisha yao huko mbeleni...
Mkuu comment ya akili nani aiponde sasa!

Furaha ya mwanaume inakamilishwa na mwanamke, bila kuwa na mwanamke huwezi kupata furaha inayostahili.

Mwanamke wa ndoto yako unayempenda kwa dhati ya moyo wako ni furaha sana kuwa naye pia ni raha.

Mungu hajakosea kumuumba Adamu kama single na hapo hapo akaigundua dhiki ya upweke iliyomkumba akiwa peke yake.

Chap akamtengenezea kimwana cha nguvu.
Sisi ni nani tuishi kinyume na matakwa ya kanuni za Mungu?
 
Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo niko single ila uhakika wa mbunye si haba nnao mda wowote nikiwa na upwiru

Ila shida yangu kubwa pamoja na mahitaji yote ya muhimu ambao naweza kuyapata lakini najiona kabisa mda mwingi sina furaha.kama siku sina kazi ya kufanya basi nisipokaa kwenye tv au nisiposhika simu yangu hiyo siku itakua ya huzuni sana kwangu

Kwa siku naweza kutumia zaidi ya 10,000 peke yake kwa ajili ya bundle tu ili nijaribu kuitafuta furaha mtandaoni ila bundle likikata narudi kwenye huzuni...nimekua addicted na simu pamoja naTV yangu kwasababu ya kukosa furaha mpka nafikia hatua usiku nalala sa8 mapak sa10 na nnachokifanya cha maana sikioni...inafikia hatua asubuhi naweza kupanga nitatoka sa1 ila nikishika tu simu najikuta imefika sa4 bado sijatoka

Kuna mda niliamini labda furaha ya kweli pekee ipo ndani ya yesu kristu kwhy niliamua mda mwigi niutumie kumtafuta mungu kwhy nilifuta kila kitu kwny simu yangu kuanzia insta.x.tiktok na social media zote mpka jamiiiforums niliifuta lakini changamoto ikaja hata kusoma mistari miwili tu ya biblia kichwa kilikua hakitaki ni huzuni tu

Kwani watanzania wenzangu mnafanyaje kupata furaha kwenye haya maisha mbona mm mda wote nakua na huzuni au mm nina tatizo la afya ya akili au nimelogwa au mtu akiwa single kwa mda mrefu ndo anakua na hali hii ili kama ndo sababu niende kumpgia goti mke wangu arudi... naomba wataalumu wa afya ya akili mnisaidie ili niweze kuondokana na hii hali najiona naelekea kudata

Ni swala la mda tu, puuza
 
mwanaume wa umri wako anajitaji mke na familia kwa ujumla. Utahangaika sana lakini mke ndo suluhisho la matatizo yako.
Mtaiponda hii comment lkn ukweli ndo huo.
Na hivi ndivyo kataa ndoa watakavyoishi maisha yao huko mbeleni...
Huyo ana yake mambo...single life huku hela unayo full burudani.
Kuishi na jitu zima ndani ya nyumba lina mauzi yake mweeee!
Yeye aendelee kula mbususu mpaka pale atapata mbususu moja nzuri itampa furaha
 
Ufanyavyo Wewe Ni Vya Kukupa Raha,,Furaha Kamwe Haitafutwi Na Mfumo Wake Ni Wa Kuja Na Kuondoka,,Huwa Haidumu Kamwe,,Kama Ilivyo Huzuni,,,Kilio,,Kicheko n.k.n.k Emotions Feelings Never Last Forever.
 
Huyo ana yake mambo...single life huku hela unayo full burudani.
Kuishi na jitu zima ndani ya nyumba lina mauzi yake mweeee!
Yeye aendelee kula mbususu mpaka pale atapata mbususu moja nzuri itampa furaha
hana ukame wa mbususu na bado hana raha.
Wataalam wanasema kwamba binadamu wenye raha hapa duniani ni haya makundi mawili...
1. Married man
2. Single woman

Hapo ndo ujue kwamba anayehitaji ndoa zaidi ni mwanaume na si mwanamke.
 
Mkuu comment ya akili nani aiponde sasa!

Furaha ya mwanaume inakamilishwa na mwanamke, bila kuwa na mwanamke huwezi kupata furaha inayostahili.

Mwanamke wa ndoto yako unayempenda kwa dhati ya moyo wako ni furaha sana kuwa naye pia ni raha.

Mungu hajakosea kumuumba Adamu kama single na hapo hapo akaigundua dhiki ya upweke iliyomkumba akiwa peke yake.

Chap akamtengenezea kimwana cha nguvu.
Sisi ni nani tuishi kinyume na matakwa ya kanuni za Mungu?
Upo sahihi mkuu. Acha wabishi waendelee kubisha. Kuna umri ukifika mke/mume muhimu sana.
 
Kataa ndoa watakuja na mistari ya kupinga ila huu ndio ukweli. Ndoa ina challenges sana ila kuna kitu special inakupa.
Kataa ndoa watakuja kufa kifo kibaya sana.
 
Hekima za watu zitakupoteza,tenga muda wa faragha lia mbele za Mungu kama Daudi utaona mambo yakibadirika vinginevyo utapotea.
 
But guys tuweni wakweli anahitaj company m nampa ila analipia per hour kama business atawez most welcomed

Aliikana dini gani?
Nashukuru mkuu kwa swali zuri...ninaomba msaada wa kisaikolojia swala la dini limeingiaje hapa?!...bado naendelea kukusanya maoni ya watu mbalimbali ili niyafanyie kazi naweza kupata shuluhisho
 
Back
Top Bottom