Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.
Ona mwamba

We are OF God and we live FOR mankind

Yaani sie ni wa Mungu na tupo kwa ajili ya Wanadamu wenzetu. Kila kitu kipo hivyo sasa wewe unahangaika nini?

Usipojiua utajilaumu sana na ukijiua utajilaumu mnoo! Kwa hiyo kama itikadi yako imekaa kujilaumu jua utajilaumu tu.

Lawama mojawapo unaweza ibadili lakini lawama nyingine hutakaa uibadili. So chukua option ambayo inakuruhusu kuendelea kuwa na options siku zote. There lies your power.

Hebu achana na lawama halafu endelea kuishi na flow tu. Na ikiwa utataka kumuomba Mungu basi omba kuwasaidia watu (wake). Endelea kuishi, kiishi kwetu ni faida kwa watu tunaoishi nao na ndio jukumu letu hapa duniani. Of God for mankind.
 
sina disability yoyote... even now mimi ni dereva wa Bodaboda kupitia UBER ama Bolt.... hivyo mimi ni mpambanaji sana... ila future yangu siioni kabisa​
• Vizuri mkuu,
Ukiachana na FUTURE nakuona upo sehemu zuri kabisa, nikilinganisha na maisha ya watu wengine......

• mkuu ivi unajua kuna watu wanatamani angalau wapate hata mlo mmoja tu kwa siku, lakini huwezi kuona wanafikiria masuala ya kujitoa uhai?


FUTURE, inatengenezwa taratibu mkuu,

"MDA MWINGINE UNAWEZA KUTAKA KUWAHI, ALAFU UKAWAHI MOJA KWA MOJA" hii siyo zuri kabisa kwenye maisha ya Binadamu.
 
Vijana mnapata matatizo kwasababu mnaiga sana. Kuoa mapema wakati hamjitambui na hamjui kutumia fusa zenu.

1. Kwanza acha kufikiria au kusubiri huruma kutoka mitandaoni. Huku utapata mawazo lakini weka watu wakupendao karibu usitegemee mapenzi kutoka mitandaoni ni fake
2. Imani ni muhimu huwezi kujifikiria mabaya na kutegemea mazuri. Yaani kuna vijana ambao wanaumwa kweli na wameshindikana. Dereva wangu ana miaka kama 32-34 hapo ana cancer na imesha enea sasa wanampa dawa za kuongeza siku zake tu lakini kiafya ni ngumu kupona. Weer umekaa na kujizushia magojwa na kujisikiliza! Kuumwa kichwa sio ugojwa ni dalili za mwili wako kuwa na matatizo mengine.
3. Jiulize umetumia mtandao kutafuta fursa. Unasema wewe ni mwandishi umeandika nini hasa cha kukuongezea kipato. Je umetumia mtandao kutafuta fusa nje ni masaa mangapi kwa siku umetumia kutafuta fursa. Serikali inatoa mpaka mashamba ya bure umejaribu kufanya utafiti kwenye hilo. Mnafikiria sisi ambao tuko diaspora tuliletewa barua mlangoni na kubebwa hapata tulitafuta fursa tena wengi kabla hata ya mitandao. kuna watu walienda kuomba viza Zambia, wengine walitengeneza fake bank statements, wengine walifanya mitihani mbali mbali. Siku hizi vijana wana miaka 30 bado wana lalama kila siku. Sisi tuliondoka 1997-2007 hapo hapakuwa rahisi.

Yaani nilisikia mfano ukisoma kigerumani na kufaulu mtihani wao wanakupa visa ya kwenda kule kufanya kazi. Je unajua haya au unashinda kuomba huruma! kama hujui kwanini hujui na mimi najua ? jiulize maswali kama haya. Kama hamna fursa tafuta sehemu za kwenda na kujipanga sio kulalama. Maisha hayajawahi kuwa rahisi.

Ushauri tumia muda kutafuta fursa nenda kwenye youtube katafute video za fursa acha kujiombea mabaya na utamaduni wa kulalamika sio mzuri na uache mara moja
Safi sana,ndio maana ya kuwa platinum member.
 
• Vizuri mkuu,
Ukiachana na FUTURE nakuona upo sehemu zuri kabisa, nikilinganisha na maisha ya watu wengine......

• mkuu ivi unajua kuna watu wanatamani angalau wapate hata mlo mmoja tu kwa siku, lakini huwezi kuona wanafikiria masuala ya kujitoa uhai?


FUTURE, inatengenezwa taratibu mkuu,

"MDA MWINGINE UNAWEZA KUTAKA KUWAHI, ALAFU UKAWAHI MOJA KWA MOJA" hii siyo zuri kabisa kwenye maisha ya Binadamu.
asante sana 🙏 kwa ushauri wako
 
Ona mwamba

We are OF God and we live FOR mankind

Yaani sie ni wa Mungu na tupo kwa ajili ya Wanadamu wenzetu. Kila kitu kipo hivyo sasa wewe unahangaika nini?

Usipojiua utajilaumu sana na ukijiua utajilaumu mnoo! Kwa hiyo kama itikadi yako imekaa kujilaumu jua utajilaumu tu.

Lawama mojawapo unaweza ibadili lakini lawama nyingine hutakaa uibadili. So chukua option ambayo inakuruhusu kuendelea kuwa na options siku zote. There lies your power.

Hebu achana na lawama halafu endelea kuishi na flow tu. Na ikiwa utataka kumuomba Mungu basi omba kuwasaidia watu (wake). Endelea kuishi, kiishi kwetu ni faida kwa watu tunaoishi nao na ndio jukumu letu hapa duniani. Of God for mankind.
asante sana 🙏 kwa ushauri wako
 
Nadhani hiyo ndio hatma yako,Kuna Uzi uliandika mwaka Jana unafanana na huu watu wakakushauriii nikiwemo Mimi binafsi,na Leo Tena unarudia the same shit!yaani kifupi umeshindwa kujipambania amani na future yako.. Binafsi Nikutakie farewell,au wengine wakisema bon voyage
 
Back
Top Bottom