Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Hivi kuna kijana amekuja hapa na kusema tayari anajua kijerumani kajitahidi kusoma na hana pesa ya mtihani au ni visingizio kila kitu. Huwezi kulaumu kitu ambacho ujaweka jitihada zozote [emoji2089]. Vijana wenzetu kenya nao wametokea familia masikini lakini hawana lalama kila siku. Mnasubiri mpaka matatizo yanakuwa makubwa ndiyo mnakuja kuomba huruma. Wazee wetu wangekuwa hivi walikulia kwa wakolini wanaondoka kwenye vijiji watoto wao ni sisi wengine tuko Dunia nzima maana walikuwa wanajiendeleza sio kulalama



Utajibiwa kadri ya ulivyokuja... Kwasababu umekuja king'ombe ng'ombe ngoja tukuzabue king'ombe ng'ombe Jinga wewe!


Nani kakwambia hakuna wakenya wanaolalamika!

Umewahi kufika Kenya ? Yale maandamo ya wakenya sio kulalamika kule.

Kama uko US wamarekani hawalalamiki Sasa hivi kuhusu boarder policies? Hara Elon musk Kila siku analia kuhusu boarder policies.

Wewe lofa muosha matakore ya wazungu au mbeba boksi unamuona mtanzania mwenzako hajiekew akilalamika, SHWAIN WEWE.


Wakenya kibao nawajua hata hizo Kozi za Kijerumani Zinawapiga chini kwasababu ya Kukosa hizo Hela.


Halafu nani kakwambia nje ndio kuna maisha rahisi. Zaidi ya paycheck to paycheck lifestyle labda uzuri wa maghorofa.


Badala uje hapa utoe ushauri according na Mada unatuletea umaamuma wako.


Angekuwa ni demu hapa amekuja kuomba ushauri ungemsaidia ila kwasababu ni mwanaume unaleta uhayawani wako. Pumbavu wewe!
 
Nadhani hiyo ndio hatma yako,Kuna Uzi uliandika mwaka Jana unafanana na huu watu wakakushauriii nikiwemo Mimi binafsi,na Leo Tena unarudia the same shit!yaani kifupi umeshindwa kujipambania amani na future yako.. Binafsi Nikutakie farewell,au wengine wakisema bon voyage

Tulikopitia
 
Mkuu hyo course ya kijerumani inatolewa wap?

View: https://youtu.be/MiE78rDYv1Q?si=5OAhAHNAt2EQWLcV

Tatizo la vijana wa kiume mmezubaa sana kuliko wanawake. Vijana wa kike wana husle sana kuliko madogo wetu hata video Mnasubiri niwafanyie search
1711066078932.png
 
Pole Sana .

Unabidi kufahamu tatizo lako limekaa katika AKILI

Ukiruhusu vitu ambavyo binadamu kavitengeneza viwe vikubwa kukuzidi wewe utaumia Sana

Umekosa balance katika maisha yako (stability)

Ukibadilisha Mindset utaanza kuona matokeo

Umeruhusu negative Energy kubwa Sana katika MAISHA yako.

Njia bora na nzuri ya kutoka ulipo ni kufanya maamuzi ya makusudi kupata therapy ya AKILI ili ukae sawa.


HAPA duniani kila MTU anakufa lakini sio kila MTU huwa anaishi.

Unaona upo karibu Sana na kifo kwasababu hauishi bado Ila unasukuma siku.

Ukiweza angalia haya mambo.

@ Mazingira yako unapendelea kukaa yawe mazuri and supportive

@ Watu unaombatana nao wawe positive

Unaweza usiamini ktk uwepo wa MUNGU Ila ktk maisha yetu huwa kuna supernatural power inayoongoza maisha YETU. Keep this on your mind.

Unapohisi hisia za huzuni tumia njia ya kufanya Gratitude , Gratitude huwa inaondoa mabaya yote na kukurudisha katika utulivu .

Pia waweza trace mzunguko wa maisha yako ktk haya mambo.

1 financial issues
2 Emotion and mind
3 Health
4 Family
5 spiritually

ntaendelea......
 
Utajibiwa kadri ya ulivyokuja... Kwasababu umekuja king'ombe ng'ombe ngoja tukuzabue king'ombe ng'ombe Jinga wewe!


Nani kakwambia hakuna wakenya wanaolalamika!

Umewahi kufika Kenya ? Yale maandamo ya wakenya sio kulalamika kule.

Kama uko US wamarekani hawalalamiki Sasa hivi kuhusu boarder policies? Hara Elon musk Kila siku analia kuhusu boarder policies.

Wewe lofa muosha matakore ya wazungu au mbeba boksi unamuona mtanzania mwenzako hajiekew akilalamika, SHWAIN WEWE.


Wakenya kibao nawajua hata hizo Kozi za Kijerumani Zinawapiga chini kwasababu ya Kukosa hizo Hela.


Halafu nani kakwambia nje ndio kuna maisha rahisi. Zaidi ya paycheck to paycheck lifestyle labda uzuri wa maghorofa.


Badala uje hapa utoe ushauri according na Mada unatuletea umaamuma wako.


Angekuwa ni demu hapa amekuja kuomba ushauri ungemsaidia ila kwasababu ni mwanaume unaleta uhayawani wako. Pumbavu wewe!

Kweli MTU mweusi ni Wa kupuuzwa Sana hasa mswahili
 
i think wewe ni pacha wangu kabisa, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

nimefanya kazi ya ulinzi for 5 years kampuni 3, China security ile inayo linda mwendo kasi...!

Gardaworld na Ws insights... baadae nikaamua tu nijiajili as a bodaboda driver 🥲🤣🥲🤣
Kaz za ulinz zina mishahra midogo sana ila Kuna sehem ukipata unakunja mpaka 600k monthly. Hapo focus kujenga kwanza kile kiwanja usiuze. Jenga hamishia familia pale..

Muwekee frem mkeo akae.. uhakikishe anawez kupata walau faida ya elf 5 kwa siku yeye binafsi. Alafu wewe ingia shamba kakomae na pori. Mana huko unaenda kujitoa kafara... Hali ya maisha kwa vijana tunafanana sana hasa tuliotoka kwenye umaskini mkubwa. Hasa mikoa ya kusini huku

So, hauko mwenyewe mkuu. Kuna mda nilikuwa nakunywa sana smart gin na kimbunga. Maisha yalikuwa magum Sanaa. Imagine nimekaa LINDO Zima digrii holder mm tu. Uzuri wa Zanzibar Kuna utalii, so fahari yangu ilikuwa kuongea nao kiingereza tu
 
Natamani uje PM ila niko na matatizo zaidi yako. Nakosa pia cha kucomment hapa .... naomba tuu nijue dini yako ninalo neno moja tuu litakalo kuondoa kwenye shida hii... nitarudi baadae!
 
Mkuu mimi naomba kufahamu jambo hapa ili nitoe ushauri wangu, Ni unatamani kufa au unaogopa kufa? kipi kati ya hivi vinakuchochea zaidi?

Kama ni unatamani kufa, acha ujinga
Kama ni unaogopa kufa, fanya mazoezi, kula vizuri, jumuikana watu.

Fikiria unataka kukwepa majukumu ya kulea watoto watatu kwa kisingizio cha ndoto zako hazijatimia ivyo unaona dalili za kufa. Bro!, sikufokei ila hapa unazingua. Nini kilifanya ukawa na watoto wote hao ili hali unaona wazi hujajipata bado?.

Wapo watakaokupa faraja na maneno matamu ya kukuonea huruma, ila hayo hayasaidii kuinua uchumi wako na familia yako, bali yatakuongezea sonona tu na kujiona mtu wakuonewa huruma huruma.

Amka pambana, acha mawazo a hovyo ya kujikatia tamaa. Dunia ni katili haihitaji kuishi kwa kuonewa huruma

Ni hayo tu Mkuu Prince Mhando
nime kuelewa mkuu nitajitahidi 🙏🙏🙏
 
Sitegemei wewe prince kuandika ulichoandika.
Don't expect much from this world we are here kwaajili ya kuishi.
Achana na mambo yako ya kukata tamaa.
Wapo wenzako tunapitia kadhia mbali mbali. Na hatukati tamaa wewe ni nani?
Tunaachana na wapenzi wetu,
Biashara zinakufa mpaka tunarudi kulala ndani.
Maugomvi ya kila siku. Na tuna familia zinaishi vzuri ila ttunaumia wenyewe moyoni.
Acha hizo bwana. Maisha haya ya muda mfupi, usidhihaki maisha bwana.
asante sana 🙏 kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom