TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #21
Akili imekaa sawa 180 degrees kabisa,nitaendaNenda pale kawaone uongee nao vizuri watakupa mafunzo na Silaha utapewa ila zingatia utimamu wa akili km unajijua wewe una elements za ukichaa usisogelee Silaha
Wewe ni hovyo tu,Kwamba wewe ndio umeumia kuliko mleta mada? Halafu siasa ndio zinazowaburuza nyinyi kwenye nchi , usijifanye haikuhusu
Uwe na Usiku mwemaWewe ni hovyo tu,
Kama mtu unashindwa kutofautisha mada inayohusu siasa na mada inayohusu ufundi, utaweza kweli kujenga hoja kwenye siasa zinazohitaji uelewa mkubwa?
Every thing is temporary,I hope you’ll be mind settledSio kila mwenye kutafuta et inamaana alipoteza...
Jela sio pazuri kwa vijana
Zingatia kituo Mombasa Usawa wa Ofisi za Nida kwa nyuma kwa hio km una gari utazunguka na barabara kwa nyuma km unaelekea Mzambarauni utaona kota za Polisi kwa Mbele utaona Jengo limeandikwa Field Force Unit umefika sogea ofisini jielezeeAkili imekaa sawa 180 degrees kabisa,nitaenda
Sawa mkuu,nashukuru kwa maelekezo mazuri,Zingatia Usawa wa Ofisi za Nida kwa nyuma kwa hio km una gari utazunguka na barabara kwa nyuma km unaelekea Mzambarauni utaona kota za Polisi kwa Mbele utaona Jengo limeandikwa Field Force Unit umefika sogea ofisini jielezee
Mkuu nimetoka kuchezea virungu vya kwenye mbavu hapa...😭😭😭😭😭Every thing is temporary,I hope you’ll be mind settled
Usisahau kufika na Mimi unaweza ukanikuta mkuuSawa mkuu,nashukuru kwa maelekezo mazuri,
Pia uwe na usiku mwemaUwe na Usiku mwema
Kuna mdau alisema Jela hakuna kukojoa ukiwa umesimama, usipige makofi km huna cha kuongea, ukichota maji ya kunywa hakikisha unaweza kuyamaliza kinyume chake utakua wife wa nyaparaSio kila mwenye kutafuta et inamaana alipoteza...
Jela sio pazuri kwa vijana
Umemchumbia?Pia uwe na usiku mwema
Story inafundisha..Kuna mdau alisema Jela hakuna kukojoa ukiwa umesimama, usipige makofi km huna cha kuongea, ukichota maji ya kunywa hakikisha unaweza kuyamaliza kinyume chake utakua wife wa nyapara
Kwanini umeuliza hivyo?Umemchumbia?
Usisahau alisema ni nyumbani kwa chawa na kunguni na mnalala kimbanano hakuna kukunja miguu nyooka km rulaStory inafundisha..
Wengine stress za maisha magumu
Nimeuliza sababu nimeuliza? Unataka kutoa Silaha?Kwanini umeuliza hivyo?
HaujaelewekaNimeuliza sababu nimeuliza? Unataka kutoa Silaha?
Una Silaha gani hapo kwanza?Haujaeleweka
Mdogo angu anakosa hata viatu.Usisahau alisema ni nyumbani kwa chawa na kunguni na mnalala kimbanano hakuna kukunja miguu nyooka km rula
Unasikia sikia huku wanasema chawa chawa chawa sasa chawa halisi ukitaka kuwaona wanaonekanaje nenda Jela utawaona