Silaha unafikiri ni boda boda kwamba utaenda kijiweni uwaombe washikaji wakufundishe. Ikiwa hujui kaa kimya atashauriwa na wanaojua. Kwa ushauri mtoa mada aenda ofisi ya polisi wilaya akupatiwa utaratibu wa namna ya kupata mafunzo ya ubora wa matumizi ya silaha za moto. Na kuna malipo atalipia.
Silaha unafikiri ni boda boda kwamba utaenda kijiweni uwaombe washikaji wakufundishe. Ikiwa hujui kaa kimya atashauriwa na wanaojua. Kwa ushauri mtoa mada aenda ofisi ya polisi wilaya akupatiwa utaratibu wa namna ya kupata mafunzo ya ubora wa matumizi ya silaha za moto. Na kuna malipo atalipia.