Sawa mkuu, changamoto ni zile zile Kumbe. Fanya DNAHakuna changamoto yoyote.
Mwanzo nilimkubali na kumuhudumia kama wangu.
Na hata mwezi wa 12 (wakati wa likizo) alikuwa kwangu.
Changamoto ni mdomo wa mama ake.
Kuna mambo huwa anaongea akiwa na jazba YANANIPA MASHAKA SANAA..!! na kunirudisha mwanzo kabisaa nilipokataa Momba.
#YNWA
Nipo shemeji yangu.shemeji upo kweli mji huu? anataka kupima DNA, anazo nguvu?
hii si kweli hata kdgNingekushauri uanze kupima hata vipimo vya awali,ambavyo ni Blood Group ya mtoto.. Mtoto hurithi group la damu kutoka kwa baba na mama.
Mfano,kama Mama ni group O na Baba ni group B, mtoto anaye zaliwa hawezi kuwa na group nje ya O ama B.
Mama kama ana Group O na Baba ni group O,then mtoto anaye zaliwa hawezi kuwa na group tofaut na O.
Nakushauri uanzie hapo kwanza,ingawa siyo accurate sana kwa sababu group lako linaweza kumatch pia na huyo aliye zaa naye ila inakupa uelekeo fulani.
Ukweli ujulikane ili baba ake ahusishwe.Zaeni Ndugu Zangu
DNA Za Nini Wakati Tunatakiwa Kuwa Wengi Nchi Ipige Hatua Haraka
Yaani kuwa na uhakika na jambo ndiyo siku hizi mnaita mawazo ya Kishetani? Kweli jamii ya sasa ipo spidi na ni ya kinyonge sana. Mara mia ukachukue watoto mtaani ulee kuliko wa kubambikiwa.Hakuna la maana kwa hayo mambo kwanza ukizingatia si mke wako,
Mlee mtoto kama wa ndugu yako tu achana na hayo mawazo ya kishetani!
Asante.Mtafute afisa ustawi wa jamii maeneo ulipo, Ongea naye akuandalie barua (Japo huwa wagumu sana kukubali) Nenda mahakamani fungua shauri la kupima DNA nenda kwa mkemia mkuu na nyaraka na vielelezo fanya malipo (laki moja kwa test 1 kwa hiyo kwa test yako na mtoto ni laki 2) mtachukuliwa samples, utasubiri majibu.
Mbona mtaani Kuna watoto wengii tu hawan wazazi.Sio kama namtaka huyo mwanamke, mie nataka tu niwe baba wa hiari wa huyo mtoto maadam baba halisi kamkataa mtoto.
Sipendi watoto wanyanyasike kwa makosa ya baba na mama wa watoto.
hapo halmashauri unapofanya kazi hakuna afisa wa ustawi wa jamii? huyo ndiye atakushauri zaidi kuhusu taratibu.INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to let nahitaji kupata ukweli.
#YNWA
Nyie ni wabakajiUkijua sio mwanao mlete kwangu nitalea hata kama mie sio baba yake.
Nipo serious.
Biology ilikupita kushotoNingekushauri uanze kupima hata vipimo vya awali,ambavyo ni Blood Group ya mtoto.. Mtoto hurithi group la damu kutoka kwa baba na mama.
Mfano,kama Mama ni group O na Baba ni group B, mtoto anaye zaliwa hawezi kuwa na group nje ya O ama B.
Mama kama ana Group O na Baba ni group O,then mtoto anaye zaliwa hawezi kuwa na group tofaut na O.
Nakushauri uanzie hapo kwanza,ingawa siyo accurate sana kwa sababu group lako linaweza kumatch pia na huyo aliye zaa naye ila inakupa uelekeo fulani.
Umeeleza sawiaMtafute afisa ustawi wa jamii maeneo ulipo, Ongea naye akuandalie barua (Japo huwa wagumu sana kukubali) Nenda mahakamani fungua shauri la kupima DNA nenda kwa mkemia mkuu na nyaraka na vielelezo fanya malipo (laki moja kwa test 1 kwa hiyo kwa test yako na mtoto ni laki 2) mtachukuliwa samples, utasubiri majibu.
Toa nondo humu..Kuna DNA ya asili mkuu nikuambie, ila outcomes zake ni mbaya ikiwa mtoto sio wako kweli
Sijalia mbona.Ko mkuu ulishindwa tafta demu bikra Kisha unakuja kulia hapa
Niko tayari kuupokea ukweli.Unataka kufa presha