Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #61
Kujua ukweli ni MUHIMU sanaaaa.Ndiyo utajua huna kizazi, Mungu anakazi nyingi ujue,.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujua ukweli ni MUHIMU sanaaaa.Ndiyo utajua huna kizazi, Mungu anakazi nyingi ujue,.
Unamwadhibu mtoto kwa mdomo wa mamaye?Mdomo wa huyu mwanamke (mama wa mtoto) HUWEZII KABISAAA ni bomuuuu.
#YNWA
Utumishi wa Mungu unahitaji hiari lakini siyo kwa kugeuzwa fala na mke wake kwenda kubeba mimba za wengine huko halafu akuletee ndani.Unamwadhibu mtoto kwa mdomo wa mamaye?
Hivi ukimlea na mtoto akakua akitambua wewe ni babaye utapungukiwa nini?
Ukagundua sio mwanao pia utsongezewa nini?
Fanya kumtunza mtoto kama utumishi kwa Mungu.
Ukiwaza sana mambo haya utagundua umetanguliza ubinafsi.
Ni viumbe wachache watanielewa, wengine wataropoka tu.
Nhona nimwite afisa ustawi wa jamii #nyau# Joannah
Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu
Njia ya pili ni kweli.Pole Kuna njia 2 ya kwanza mkiriadhiana manenda kwa mkemia mkuu wa serikali unaandika barua ya kuomba kupima DNA njia ya 2 kama Mama hataki unaenda mahakama ya wilaya unafungua kama shauri la kuomba upime DNA mama atapewa barua na mtapewa barua ya kwenda hospital inapofanya hizo ishu sema nasikia mara chache wanasema ukweli kuogopa watoto wa mitaani ila Sina hakika na hilo.
INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to let nahitaji kupata ukweli.
#YNWA
Huyu si mke wake.Utumishi wa Mungu unahitaji hiari lakini siyo kwa kugeuzwa fala na mke wake kwenda kubeba mimba za wengine huko halafu akuletee ndani.
Sssa kuna haja ya kuwa na mtu unayemuita mke hapo? Si afadhali ungeenda labour ujitolee kuwasaifia wanawake waliotekelezwa na waume zao huku wakiwa na uhitaji?
Kama ni mtoto wa kuokota hapo sawa. Huyo kama uwezo unamruhusu na kama haitamletea shida kwenye ndoa yake anaweza tu akamlea as long as hana tena time na huyo Mwanamke.Huyu si mke wake.
Huyu Liverpool VPN ni jamii ya #kataandoa#
So Diamond alibambikiziwa kwa Mobeto?Njia ya pili ni kweli.
Asitarajie majibu ya tofauti akipitia mahakamani, huwa wanazingatia ustawi wa jamii.
Hatopewa majibu mengine zaidi ya kuambiwa ni mtoto wake. Lengo ni kuepusha watoto wa mitaani na wasio na wazazi.
Majibu mazuri ya DNA ni Kwa Nchi za wenzetu uko. Kwa Bongo Bado sababu za kiuchumi na Hali ya maisha kwa ujumla. Wanajitahidi kuepusha watoto WA mitaani wasio na wazazi.
Mnasema mnakataa ndoa sasa imekuwaje na 😅😅wewe huna Ndoa?INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to let nahitaji kupata ukweli.
#YNWA
Kwa mujibu wa maandishi ya Liverpool VPN sio muumini wa ndoa kama hadanganyi hapaKama ni mtoto wa kuokota hapo sawa. Huyo kama uwezo unamruhusu na kama ha8tamletea shida kwenye ndoa yake anaweza tu akamlea as long as hana tena time na huyo Mwanamke.
Hao watoto wa hivyo mimi nalea kiroho safi kabisa. Mradi asiwe mtoto wa mke wangu aliyempata kwenye uchepukaji wake
Sasa angefanyaje wakati wakipishana kidogo du Dem anakimbilia kump post mtoto wake na wanaume wengine aliopita nao?So Diamond alibambikiziwa kwa Mobeto?
Maana jamaa amegoma kabisa kumtambua huyo mtoto
Mtoto wa kuchukua na kusaidi kule kiroho safi kwa sababu ni maamuzi yako. Sasa hawa wengine wakubambikia unaambiwa wako kumbe una hentya bure tu kuna mwamba analala kiulaini ana kuona wewe fala tu.Kama ni mtoto wa kuokota hapo sawa. Huyo kama uwezo unamruhusu na kama ha8tamletea shida kwenye ndoa yake anaweza tu akamlea as long as hana tena time na huyo Mwanamke.
Hao watoto wa hivyo mimi nalea kiroho safi kabisa. Mradi asiwe mtoto wa mke wangu aliyempata kwenye uchepukaji wake
mwenyewe ndio aliniambia. Hakua na sababu ya kuniongopea kwa kuwa mimi sikuwa na mipango nae yoyote alafu choka mbaya tu tofauti na jamaa yake ambae wana mipango ya kuoana na yupo vizuri sanaSasa wewe una uhakika gani kama hiyo mimba yako
Bora apime ajue ukweli isije kuwa anahangaikia wanaume wengineUtajinyonga shauli yako
Kataa ndoa has a price, na kati gharama zake ndiyo hizo. So, asikimbie gharama za kataa ndoa.Kwa mujibu wa maandishi ya Liverpool VPN sio muumini wa ndoa kama hadanganyi hapa