Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

Nimesikitika Sana, Ila matendo ya Mungu yalivyo ya ajabu majibu ya huyo mtoto lazima yatoke ni wake,halafu huyo anaedhani ni wake ndio ukute si wake.....mi namshauri aachane na hizo Mambo mtoto ni baraka, huwezi jua atakufaa nn mbeleni
 
Nakupa angalizo:
Ukienda kupima DNA vaa kandambili na nguo zilizochoka na hata nywele usichane , hao jamaa Wana kawaida ya kumpa MTU mtoto hata kama sio wako na usijichanganye ukaenda umependeza watakupa Tu mtoto.
 
UShauri bora kabisa, nimekupenda bure
 
Mh hapa tolu fundi 📱 anahusika, ngoja ninyamaze.
 
Mzee wa kataa ndoa yamemkuta

Mnasema mnakataa ndoa sasa imekuwaje na 😅😅wewe huna Ndoa?

Utajinyonga shauli yako

Kataa ndoa has a price, na kati gharama zake ndiyo hizo. So, asikimbie gharama za kataa ndoa.
Au alidhani kataa ndoa ni kawimbo fulani?

Watabambikiwa kila kona

Liverpool VPN Nilikwambia mkuu kupiga makampeni humu ya kuhalalisha ufuska hayakusaidii kitu, unaona sasa unahangaika kwa mkemia mkuu saa hizi, haya sasa ndio matokeo yake.

Namcheka bwana Livapuli. Stress za wana ndoa na yeye zinampata vile vile

Hajui duniani ni nginjanginja mpaka mbinguni ndio tutapumzika🤣🤣

Sikieni....

1. Mi sio muumini wa ndoa na wala siamini kwenye ndoa.

2. Kuwa na ndoa hakukufanyi usibambikiwe mtoto.

3. Mama wa mtoto wa kwanza ni mstaarabu na mtiifu kweli.
Na isitoshe mtoto wake nimefanana nae copy kabisaaaa

4. Mama wa mtoto wa pili ndio simuelewagi, kwanza ana mdomo balaaa na huwa anaongea maneno ambayo siyaelewi kabisaaaa.

5. Sina stress kabisa kwasababu tokea mimba huyu mwanamke sikumuelewa kabisaaa

6. Na sasa ndio zile hisia zangu zinajithibitisha kwa maneno yake.

7. Nachotaka ni ukweli tu nijue "JE NI MWANANGU?" Basi ili nimuhudumie nikijua ni wangu au sio.

#YNWA
 
Hata ukigundua sio wako mlee hakikisha jina shuleni la baba linakuwa lako msichana ni Mali nijuavyo mimi
 
Asante sana
 
Sawa ndugu. Na sie ndo hivyo hivyo
 
S
Sio muumini wa ndoa ila unataka mazao ya ndoa
 
Mbona hata sasa Nina wasiwasi nae ila namtunza.
Nachotaka ni ukweli JE NI DAMU YANGU au natoa matunzo kwa ufadhili ...

#YNWW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…