Nahitaji mwanaume wa kunioa

Je sisi wenye 45+ ?
 
Khaaa asee we jamaa mbona sio mstaarabu?
 
Mtu alikutukana kwenye id ukamjibu je akikutukana uso kwa uso si utamkita kisu?
 
Una kazi yoyote inayokupa kipato ? Usije ukawa goli kipa,,,,, sasa hivi ni 50/50! Chagga specify,,, kibosho, machame, old moshi, marangu , rombo n.k
Hakuna mchaga golikipa!
Kabila la kichaga ni kabila la wapambanaji, wanawake na wanaume wote ni watafutaji.
Kwenye zile amri 6 za kwenye biblia wachaga wameongeza moja ambayo wameifanya ndiyo ya kwanza jumla ni amri 7 amri ya kwanza ni 1️⃣ TAFUTA HELA !.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…