Nahitaji mwanaume wa kunioa

Nahitaji mwanaume wa kunioa

Je sisi wenye 45+ ?
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
 
Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
Khaaa asee we jamaa mbona sio mstaarabu?
 
Una kazi yoyote inayokupa kipato ? Usije ukawa goli kipa,,,,, sasa hivi ni 50/50! Chagga specify,,, kibosho, machame, old moshi, marangu , rombo n.k
Hakuna mchaga golikipa!
Kabila la kichaga ni kabila la wapambanaji, wanawake na wanaume wote ni watafutaji.
Kwenye zile amri 6 za kwenye biblia wachaga wameongeza moja ambayo wameifanya ndiyo ya kwanza jumla ni amri 7 amri ya kwanza ni 1️⃣ TAFUTA HELA !.
 
Back
Top Bottom