macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mchaga wa wapi? Shimboni? Habari yafo? Naesindiso kekyu/saa?Ni mchaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchaga wa wapi? Shimboni? Habari yafo? Naesindiso kekyu/saa?Ni mchaga
Nakutaka weweWaoaji mnaitwa huku, kuna Fursa kwa ajiri yenu.
Subiri wanakuja.
Mie ni makamu mwenyekiti.Naona umekuwa dalali,post yako lini au ni katibu wa kataa ndoa.
Em fungukaaa, acha uoga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ka...... au basi [emoji23]
Nipo Dr, vipi wee unaendeleaje?
Wee em apia?Nitakuoa wewe Cocastic taka usitake. Huu ni uamuzi usiohojika
Wee em sema kwelii?Unataka kuoa mke wa kiume?? [emoji15][emoji15]
Nusu mzungu, fursa hii em changamkia bhana, MC wa harusi niko hapa, tena buree.Tuliaaaa
Wee em apiaa??Nakutaka wewe
[emoji23][emoji23]Em fungukaaa, acha uoga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee usiniambiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja kwanza nasikiza
Ibraah - Amani
Amani inatawala mbona tena inner peace [emoji23]Wee usiniambiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amani itoke wapi na babe ako kakupiga kibuti? Mxxxxiiiiew
Thubutuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amani inatawala mbona tena inner peace [emoji23]
Rombo,/nangsha/nasicha/Mchaga wa wapi? Shimboni? Habari yafo? Naesindiso kekyu/saa?