Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Na jinsi alivyoandika inaonekana hata muda wa kunyanduana hakutakuwa na zile feeling za kiromantic yaan utapewa mashariti mpaka basi kama usinishike huko mara humalizi tu,tuishie hapa nimechoka
 
mimi niko poa kiafya sina shida miaka 32 na niko tayari ila kuna shariti moja ndo gumu tu, kama unaweza niwe naona picha zake basi karibu PM hata kama asipo mjua baba yake sawa.
Yaani mtu unakuwa tayari kutelekeza damu yako kwa msagaji? Hivi akili huwa mnazitumia kufanya nini?
Kwanini usioe mke upate watoto kama unahitaji watoto badala ya kutelekeza damu yako kwa huyo mshenzi halafu mwanao aje nae asagwe au afanywe shoga aanze kukulaani Kwanini ulimzaa na kumtelekeza kwa huyo shetani?
 
sina noma.
 
Nimechekaaaa ila umeongea point kubwa sana,
Ahsante sana Beemind nimependa ushauri wako
 
Kama una uwezo kweli wa kulea then ongeza vigezo, ili uongeze probability ya mtoto wako kufanikiwa

Things like:
1. Academic excellence ili upate mtoto kipanga darasani
2. Sports excellence labda ligi kuu, daraja la pili n.k wa any type of sport you like/prefer
3. Business established individual ili upate mtoto atakayekuwa na entrepreneurship mindset
4. The list can go on as you prefer, you are paying for expenses so you should be picky.
All the best.
 
UZI ZA KIPUMBAVU KAMA HIZI ZINATEMBEA BALAA!
WAKURUGWA HIVI MNAELEWA ZUNGU NA MWIGULU WAMEWEKA TOZO NYINGINE YA SIM CARD/LAINI ZA SIMU??!

Anyway, endeleeni kufurahia Uzi pendwa wa kumzalisha msagaji!
 
Si uende ukapandikizwe mimba hospitali,au unataka utamu wa dyudyu la yuyu ili upime ikiwezekana uachane na usagaji mazima hapa unatuzuga tu??
Unaijua bei ya kupandikiza lakini?
Kama utanilipia nipo tayari hata sasa hivi
 
Kwa hiyo Lesbian ni nani?

Elimu muhimu
 
Mstari wa mwisho umenichekesha sana, Mtoto wangu hawezi fikia huko kwa uwezo wa aliye juu,

Ila umeuliza maswali ya msingi sana ambayo hakuna hata mmoja aliyeniuliza,

Ndio maana nikasema kigezo ninachoangalia ni AKILI TIMAMU,

Kayimukaa una Akili sana.
 
Ngoja nakutafutia lakini whatever the case ikitokea ukampata mtu wa vigezo na masharti yako bado ni vema ukawa na kumbukumbu zake ama hata za ndugu zake kwakuwa hatujui future itakuletea nini.. Kuwafahamu ndugu wa baba mtoto ni hakiba ya baadae
Ushauri wako nimeupokea huu,
Siwezi kukupinga kaka
 
Mtoto atakayekuja kuzaliwa atanilaumu kwa maamuzi ya kumleta duniani
 
Ndo tunapoelekea!!!! Lesbian bila ata uwoga au ndo mnatuandaa kisaikolojia kwa ndoa za jinsia moja?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…