heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
alooo mi apana kwailo japo mbeg zang nazimwaga bafuni mtoto angekua anaweza nijua apo sawa nikupe copy mi n hendisamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tasha mbona unanitisha hivyo,Labda kama sio mimba hizi nnazozijua mimi
Za kunywa folic acid,ferrotone mara uambiwe bed rest mara itishie kutoka mara usikie unakabwa kooni na mtoto
Sometimes unatamani uende sheli ukanuse harufu ya petroli usiku wa 8 nakwambia hivi mariposa mwenyewe utampigia baba kijacho aje akusaidie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na huo ukaribu hutaweza kuukwepa mana kuwa peke yako yatakushinda!
Mimba sio mchezo mama,tena ikikukataa mwanzoni ndo utaomba na baba kijacho akuoe awe anakufariji kwa ukaribu!
Wewe wazazi wako walinunua sperm?Sasa we lesbian km huwez hata kumudu cost ya kununua sperm uyo mtoto utamlea vip au unataka ukamuuze afu baba asipate kitu
Badala ya kutaka mtoto nilidhani ungeweka juhudi uondokane na tatizo ulilo nalo la kuwa na spiritual husband/wife unahitaji deliverance huwezi kuondoa hili tatizo kwa akili zako za kibinadamu ndugu..hata tu ujasiri wa haya unayosema ni ujasiri wa kipepo!Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,
Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,
Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,
Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,
SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu
2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)
3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha
5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu
6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano
7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya
SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu
2. Lesbian
3. Ready kua Mama
4. Umri miaka 28
5. Nipo Dar es salaam
NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.
Mawasiliano yawe PM.
Natanguliza Shukrani.
Tayari msimu wa Swala kuwakimbiza Simba umefika
Narudia TenaUnamlaumu as solution ya tatizo lake?
Sonona inakusumbua
NakujaYupi tena...ebu wacha zako bwana njoo basi tuyajenge
I and my family we are protected by the blood of Jesus, too late for your stupid wish.Hayo maombi yako yarudi kwenye kizazi chako cha sasa hadi cha tano.
Usiamini kila kinachoandikwa hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwezekano ni mkubwa sana mtoa mada ndio hauna akili timamu
Subiria muendelezo.Nimekuelewa na mimi nimefikiria hivyo hivyo.
Mkuu chukua tahadhari isijekuwa nipe nikupe.Nimeku Pm mkuu.
Mmh mkuu umezidisha madoido sasaZaidi ni muhimu sana kufanya background check ya familia yake .. Kuna mengi ya kuangalia magonjwa sugu, laana za kifamilia, ulemavu nknk
Proposala tayari mtoa mada ushindwe wewe tuHabari dadangu, Mimi naitwa Robert ninavigezo vyote ulivyo vitaja na nipo tayari kuzaa mtoto na wewe. Kama jinsi ulivyosema kwenye Uzi wako. Na tukishaa zaa mtoto kama ukitaka tumlee wote ni sawa ila pia kama utamlea pekeako kama ulivyosema ni sahihi pia. Elimu yangu ni Msc. Degree. Kuhusu kazi nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara. Ninaishi Kigamboni Dar es salaam geza ulole block 16. Ndio nyumbani kwangu. Nipo tayari kupima afya na hatua zingine zote ulizozisema kwenye uzi wako. Umri wangu ni miaka 36. Karibu dadangu. I am looking forward to hearing from you.
Huyo nadhani ni mtoto wa sekondariMbususu ya bure mzee ndio malipo
😂 Lloyd Munroe we hutaki kwani?Mwanangu Poker vessel imepatukana huku😋