Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
alooo mi apana kwailo japo mbeg zang nazimwaga bafuni mtoto angekua anaweza nijua apo sawa nikupe copy mi n hendisamu sana
 
Tasha mbona unanitisha hivyo,
Ila wanasema hizo mbwembwe huwakutaga wamama mijengo mbona House girls na Wanafunzi hawawi hivyo
 
Badala ya kutaka mtoto nilidhani ungeweka juhudi uondokane na tatizo ulilo nalo la kuwa na spiritual husband/wife unahitaji deliverance huwezi kuondoa hili tatizo kwa akili zako za kibinadamu ndugu..hata tu ujasiri wa haya unayosema ni ujasiri wa kipepo!
 
Nenda lodge kule free sperm zipo mingi sana kama timing yako nzur unawahi kabla hazijapoa.
 
Tayari msimu wa Swala kuwakimbiza Simba umefika

Mambo yameshika kasi
 
Huu uzi ni ndugu na
 
Hayo maombi yako yarudi kwenye kizazi chako cha sasa hadi cha tano.
I and my family we are protected by the blood of Jesus, too late for your stupid wish.
You introduced yourself as a lesbian so what do you expect.
I told you the truth so don't run away from it because it is what it is.
 
Ukihitaji na wa kumzibua masikio mwanao utani-check.
 
Ila mtoto awe wako peke yako hii ndio ngumu kumeza.

Lazima mtoto wangu anitambue na nimlee

Yaani mtu kama wewe nakutia Mimba halafu tutapelekana kuanzia ustawi wa jamii, Mahakamani ikishindikana naenda kushitaki kule Mbangani kwa Babu zangu halafu tuone kama dogo utamfaidi na kumfurahia kwenye maisha yako.

Baada ya kusoma hapo, ikiwa upo interested nicheki pm ila hiyo tabia mbaya pia ukubali kuacha

Elimu CPA, Msc A&F, BAC
 
Nimekuelewa na mimi nimefikiria hivyo hivyo.
Subiria muendelezo.
Jf imepitia mengi mno.

Ulishawahi kusoma kisa cha BOSSLADY?

Story ilikuwa tamu na picha za kuvutia, wanaume tukachachawa kumbe bosslady ni dume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ashukuriwe Maxence Melo aliziunganisha ids ndio ikawa pona yetu
Ninaamini witnessj atakumbuka kisa hiki
 
Proposala tayari mtoa mada ushindwe wewe tu
 
Unahitaji mwenye akili timamu haliyakuwa na wewe unahitajika ukapimwe akili
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…