Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
All the best dada
 
Unavyoupamba huo u lesbian waona sifa. Nenda kaombewe hilo jini litoke uolewe ujenge familia.
 
We unamuona mwenye akili timami akaandika upumbavu kama huu? Anajiamini kiseng* halafu anataka free sperm donation?
 
Uchumi wa mama ukiyumba,
Hakuna rangi mwanaume utaacha kuona
Itapigwa u-turn ya Nguvu Sana utabak mdomo wazi
Hii imewahi kumtokea rafiki yangu. Mwanzo aliambiwa kuwa hatahusika na chochote. Sasa anasumbuliwa mpaka kero na ana familia yenye watoto watatu ya kuwatunza. Huo ni mtego. Anaweza kupata mtoto kwa kuasili (kuadopt) sio lazima azae. Sijui kwa nini njia hii wengi hawaipendi
 
Mwanaume mo
Pumbavu na asiyeelewa thamani ya damu yake ndio anaweza kukubali huu ujinga.

Uagonge mwanamke ili azae shoga mtarajiwa, yaani huyo mtoto mtarajiwa lazima awe shoga, nani anataka mtoto wake kuwa shoga. Labda awe hamnazo kichwani.
 
Kwa masharti hayo hutapata mtu mwenye AKILI timamu. Njia pekee ukitaka mends mkoa ambao hufahamiki jilengeshe kwa mtu kama unavyojua Hakuna Mwanaume anayekataa mzigo WA Bure. Then Mimba ikishaingia hama rudi kwako badili line Umemaliza
 
Anaongea kibabe na kwenye mahusiano yake ya lesbianism atakuwa yeye ndio Mwanaume. Maana yuko masculine sana
 
sasa mimi nitafaidika na nini au ule utamu tu wakati tunagegedana?

nikupe mbinu ukitongozwa kubali kwa shart na kwenda kupima maradhi kwanza. Halafu ww binafsi weka mazingira yako ya kupata ujauzito. halafu ukiupata kata mawasiliano. na hata akijua simple tu unamwambia kuwa huu si ujauzito/mtoto wako.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…