antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Nakazia ✍️✍️Sasa usimnyime mtoto Ila usimpe majukumu
Akiamua mwenyewe kuhudumia ahudumie akiacha aache kuliko kukata kabisa inamadhara Sana kwa watoto
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,
Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,
Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,
Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,
SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu
2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)
3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha
5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu
6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano
7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya
SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu
2. Lesbian
3. Ready kua Mama
4. Umri miaka 28
5. Nipo Dar es salaam
NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.
Mawasiliano yawe PM.
Natanguliza Shukrani.
🤣🤣 Changamka bhana!Hujaona PM yangu Mariposa acha nitume tena.. Ila walau nitapa hata nafasi ya mlo mmoja na wewe tuyajenge
Niko tayariRejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,
Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,
Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,
Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,
SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu
2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)
3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha
5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu
6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano
7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya
SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu
2. Lesbian
3. Ready kua Mama
4. Umri miaka 28
5. Nipo Dar es salaam
NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.
Mawasiliano yawe PM.
Natanguliza Shukrani.
Mambo ya nyumba tunaachana nayo mbona🤣🤣Sasa uje huku na Nyumba yako ya room mbili umuachie nani?
😀😀
Kiukweli mtoto atakuwa hatendewi haki.Mkuu unafikiri huu ushauri ni mzuri kwa kiumbe kitakacho kuja kuzaliwa? vp mtoto akija kuuliza kuhusu Baba yake yuko wapi?
Kila la kheri Mkuu!!Nimeshinda mchuano, kesho naanza chakata mbususu mchana na usiku
Kuna dalili ya kifiro[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwandiko wa kiume huu
Kupoteza marinda nje nje 😀😀😀Kuna dalili ya kifiro[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha nikatie mimba na mie niwe babaaKila la kheri Mkuu!!
Sasa kama hutomlipa yeye atafaidika nini? Nani mjinga wa hivyo aache mtoto nje na asijue maendeleo yake?Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,
Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,
Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,
Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,
SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu
2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)
3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha
5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu
6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano
7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya
SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu
2. Lesbian
3. Ready kua Mama
4. Umri miaka 28
5. Nipo Dar es salaam
NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.
Mawasiliano yawe PM.
Natanguliza Shukrani.
HahahahaHa ha ha ....
Mwenye link ya ule Uzi wa
"Naomba tuzae, ntalea mwenyewe" aulete
Huu Ni mtego,jichanganye Sasa [emoji28]
[emoji4][emoji4]Kama una uwezo kweli wa kulea then ongeza vigezo, ili uongeze probability ya mtoto wako kufanikiwa
Things like:
1. Academic excellence ili upate mtoto kipanga darasani
2. Sports excellence labda ligi kuu, daraja la pili n.k wa any type of sport you like/prefer
3. Business established individual ili upate mtoto atakayekuwa na entrepreneurship mindset
4. The list can go on as you prefer, you are paying for expenses so you should be picky.
All the best.
Huyu anayetaka mimba pia atakuja kujuta huko mbeleni kwa mtoto kutokumjua Baba yake,huwezi kujua huyo mtoto atakuja kua nani.Kiukweli mtoto atakuwa hatendewi haki.
Jibu linaweza patikana hata akiamua kumuua mzazi mwenzie kwa maneno. Ingawa si haki pia.
akikua akawa na akili timamu akamtafuta baba. Na akaja akajua mama alifanya kusudi kumfichia baba bila sababu za msingi unafikiri atamchukuliaje mama ake?Huyu anayetaka mimba pia atakuja kujuta huko mbeleni kwa mtoto kutokumjua Baba yake,huwezi kujua huyo mtoto atakuja kua nani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]nna huzuni ila mmecheka apewe na anaoshirikiana naoNg’ombe kweli.
Hao unaoshirikiana nao si wakupe mimba. Ya nini mwanaume wakati umeshajipambanua kama mpenzi wa jinsia moja!?
Ha ha ha shoga angu nimekumiss pia..nipo mbona..We mwanamke nakumiss
Nakutafuta kama shilingi ya Nyerere