Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Sasa usimnyime mtoto Ila usimpe majukumu
Akiamua mwenyewe kuhudumia ahudumie akiacha aache kuliko kukata kabisa inamadhara Sana kwa watoto
Nakazia ✍️✍️
Hata maneno tu ya baba kwa mwanaye yanakuwa na athari chanya kwa mtoto.
Ni ukatili mkubwa kumnyima mtoto access kwa babaake kama huyo Baba yupo hai. Kuna vitu atakosa!
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,

Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,

Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,

Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,

SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu

2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)

3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana

4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha

5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu

6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano

7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya

SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu

2. Lesbian

3. Ready kua Mama

4. Umri miaka 28

5. Nipo Dar es salaam

NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.

Mawasiliano yawe PM.

Natanguliza Shukrani.

Ng’ombe kweli.

Hao unaoshirikiana nao si wakupe mimba. Ya nini mwanaume wakati umeshajipambanua kama mpenzi wa jinsia moja!?
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,

Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,

Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,

Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,

SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu

2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)

3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana

4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha

5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu

6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano

7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya

SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu

2. Lesbian

3. Ready kua Mama

4. Umri miaka 28

5. Nipo Dar es salaam

NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.

Mawasiliano yawe PM.

Natanguliza Shukrani.
Niko tayari
 
Mkuu unafikiri huu ushauri ni mzuri kwa kiumbe kitakacho kuja kuzaliwa? vp mtoto akija kuuliza kuhusu Baba yake yuko wapi?
Kiukweli mtoto atakuwa hatendewi haki.
Jibu linaweza patikana hata akiamua kumuua mzazi mwenzie kwa maneno. Ingawa si haki pia.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,

Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,

Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,

Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,

SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu

2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)

3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana

4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha

5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu

6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano

7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya

SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu

2. Lesbian

3. Ready kua Mama

4. Umri miaka 28

5. Nipo Dar es salaam

NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.

Mawasiliano yawe PM.

Natanguliza Shukrani.
Sasa kama hutomlipa yeye atafaidika nini? Nani mjinga wa hivyo aache mtoto nje na asijue maendeleo yake?

Kajitege wanapokaa wanawake wanaojiuza ktk hizo siku zako za hatari ndio utakutana na wanaume ambao hatokuwa na mawasiliano na ww wala mwanao na mimba atakupa
 
Kama una uwezo kweli wa kulea then ongeza vigezo, ili uongeze probability ya mtoto wako kufanikiwa

Things like:
1. Academic excellence ili upate mtoto kipanga darasani
2. Sports excellence labda ligi kuu, daraja la pili n.k wa any type of sport you like/prefer
3. Business established individual ili upate mtoto atakayekuwa na entrepreneurship mindset
4. The list can go on as you prefer, you are paying for expenses so you should be picky.
All the best.
[emoji4][emoji4]
 
Kiukweli mtoto atakuwa hatendewi haki.
Jibu linaweza patikana hata akiamua kumuua mzazi mwenzie kwa maneno. Ingawa si haki pia.
Huyu anayetaka mimba pia atakuja kujuta huko mbeleni kwa mtoto kutokumjua Baba yake,huwezi kujua huyo mtoto atakuja kua nani.
 
Nenda brothel karibu na wewe huko tunaachaga mbegu za kutosha.
 
Huyu anayetaka mimba pia atakuja kujuta huko mbeleni kwa mtoto kutokumjua Baba yake,huwezi kujua huyo mtoto atakuja kua nani.
akikua akawa na akili timamu akamtafuta baba. Na akaja akajua mama alifanya kusudi kumfichia baba bila sababu za msingi unafikiri atamchukuliaje mama ake?

huyu atakuja kujuta.
 
Ng’ombe kweli.

Hao unaoshirikiana nao si wakupe mimba. Ya nini mwanaume wakati umeshajipambanua kama mpenzi wa jinsia moja!?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]nna huzuni ila mmecheka apewe na anaoshirikiana nao
 
Naturally hakuna mwanaume mwenye akili timamu atakayekubali kuacha mbegu na damu yake kwako. Hakuna.
Na hakuna kitu kinachoitwa mtoto wangu peke yangu kwani biologically mtoto ni product ya two different sexes.
Bond ya mtoto na baba ni unbreakable na huyo mtoto akikosa mzazi mmoja ni lazima awe mentally unbalanced. I pitty the unborn.
Reality na Nature ni unbendable na hauwezi kuvibadilisha otherwise consequences zake ndio kama hizi.

Atakayekubali kuacha mtoto wake ni lazima awe some poor desperate loser.
Mwanaume mwenye akili timamu anataka mwanamke mwenye akili timamu vilevile.
Naked truth of reality.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom