Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.

[mention]Mariposa [/mention] Mi naona ni kheri utafute mzungu au ukifanikisha kupata asie raia wa nchi hii ndo itakua vizuri zaidi, hatakama mtawasiliana na kumtumia picha ila hatokusumbua kama mtu wa hapahapa, kibongo bongo kuna mawili either uyo mtu atakubadirikia baada ya kupata penzi lako huenda akakupenda na tena akiwa anahuakika kaacha mbegu zake na mimba lazima tuu atarud kutaka muungane (LAZIMA ATAKUSUMBUA SANA) sababu hamna mkataba!

Na ukijiroga ukasema umtumie picha za mtoto atakama keshamove on trustme atarud tuu hatokubali kutomwona mwanae na mwanae kutopata ubini wa baba ake ndo vitamchanganya kabisaa atakama ndo yalikua makubaliano.

Wazo la mwisho kama unauwezo basi kubaliana na atayekuja kukupa mimba avae mask usoni na wewe uvae mask usoni jenga mazingira yakutofahamiana kabisa baada ya pale usijifanye wabongo kama hutujui vizuri, usiombe keshakupa mimba alafu mkutane sijui kwenye mwendo kasi alafu umebeba katoto kazuuuri hehe UTAJUA HUJUI,,,,NYOTE MNAWEZA KUBADIRIKIANA TU.
 
Hujasema hizo gharama zoote za kupima Magonjwa na Mbegu kama ni nzima atazilipa nani?
 
Hili nalo tutaliangalia kwenye kikao kinachofuata
 
Mbona hueleweki? Huyo mwanaume anafaidika na nini kwako kwa kutumia muda wake kukutia mimba maana unasema baada ya tendo hutaki mjuane tena na wala hutoi malipo yoyote kwake. Kumbe unataka msaada lakini bado unaweka masharti meeeeengi? Kama hujitambui vile!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…