Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Unaishi against nature na umeridhika na unaona nisawa kabisa
 
Ha ha ha ....

Mwenye link ya ule Uzi wa
"Naomba tuzae, ntalea mwenyewe" aulete
Huu Ni mtego,jichanganye Sasa [emoji28]
Usitumie tatizo la mtu kama fimbo dhidi yake.

Think and yes think again
 
Mwanaume kama maji tu hata usipo yaoga utayahitaji tu hata kunywa, suala la kusema eti uzae na mwanaume halafu mmalizane siyo kwenye jamiii za kiafrica hizi labda huyo atakae kubali nae awe ana shida kichwani
 
Tabia zina mtindo wa kufuata damu, vijana lindeni sperms zenu.Kwanza atakuwa sio mama mzuri na mtoto ana probability kubwa kuwa punga au kama yeye ,kwan yy kwake hivyo vitendo ni kawaida.

Mtatengeneza vizazi vyenye tabia za ajabu sababu ya kupenda vitonga.
 
Kumbe bado huna akili za kitoto sana,elimu yako haijakusaidia kitu na kama ww hautokufa siku 1, mtt atabak na nani!? Tabia yako ya lesbian imeanza kukuathiri kisaikolojia.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Ili mimba inase si lazima nipeleke moto zile siku zote za hatari.. mbususi ya bure tamu bwanaaa weee.. Acha nisubiri mchujo tu, nishaamua kujilipua mazeee.. Maisha ndio haya haya, najua watanisaka kumleta mtoto mizimu haitamuacha salamaaa hawatokaa wakalala hata siku moja [emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] Changamkia fursa iyoo mbususu ya buree
 
Vijana kazi kwenu.
Sisi wengine ni wastaafu japokuwa uwezo wa kuchakata mbususu na kutia mimba bado upo sana tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom