Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Achana na mada ya umri na wewe πππroho ngum kulko umri wako
Unaleta uchawi humu alaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na mada ya umri na wewe πππroho ngum kulko umri wako
Bas nambie polepole usinifokee ivoπ₯π₯π₯Wee jichanganye, na skuizi vifupi ndo vipambanaji afu vina ngekewa ya fwedha ka nini
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
Pole sana kwa jweli, ninakuineq huruma kwa namna ulivyoelezea..Mungu akusaidie upate ufumbuzi wa changamoto hiyo-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Na sikati tamaa...utasubir kama juxππππ
hupend ukweli ππππAchana na mada ya umri na wewe πππ
Unaleta uchawi humu alaaah
Endelea na mawazo yako ya hovyo ππππBas nambie polepole usinifokee ivoπ₯π₯π₯
Acha bana....πππhupend ukweli ππππ
ila we mtoto jamani ππππtuma ata pcha nkuone basNa sikati tamaa...
Ni swala la mda tuu. πππ
Hiyo siku ntafurahi sana sana sana
Nakazia πππAcha bana....πππ
Nakosa confidence ujue
Nimesoma na nimemielewa.Soma vizuri kwenye mind ya mleta Uzi utajua anachokitaka.
Na mimi nahitaji mtoto. Je uko wapi?Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
πππ Namba umefuta natumaje sasa...ila we mtoto jamani ππππtuma ata pcha nkuone bas
ππππ Tulia hv hvo tena tulia kama mojaNakazia πππ
Yangu si unayo tumia ioπππππππ Namba umefuta natumaje sasa...
Wee unataka nikutukane sio ,ππ
namim n moja kwel πππππππ Tulia hv hvo tena tulia kama moja
Mi nakutafuta unasema poor brain yupi khaaa...ππππ
Yangu si unayo tumia ioππππ
Ugonjwa wangu huo ππππππnamim n moja kwel πππ
Hahahaha πππππππππππππMi nakutafuta unasema poor brain yupi khaaa...
πππππππ
Jamani nililia sana mweeeh