Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Na mimi mmoja wao [emoji1]
Kila fursa nimo
Nilipeleka ngano Iraq na vita imekolea

Tatizo humu watu tukiwapa code za michongo ya pesa wanaona tunafanya jokes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nina bro angu huyo ni muabeshi anaingia front anapiga mpunga sio wa kitoto, nyumba yake km kanunua mtaa, kutoka kwenye geti unachezea kilomita ndio unafika alipo!! Hii bongo kuna watu wana mawe bro [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hadi hapo umefeli,huwez fanya biashara usiyo ijua,chukua 38 ml weka utt,Zen tafuta biashara ndogo unyiweza ifanya wewe mwenyewe ukiwa unajiiba ukiweza maintain hiyo hela na ukawa na faida ya nusu ya mtaji au zaidi haijalishi kwa mda gani utakuwa angalau umeiva ndo utajua unafanya nin, biashara sio mtaji tu ukiweka mtaji wote huwez jua wapi unakosea mpaka itokee siku unazinduka ukiwa umefilisika,biashara inahitaji uvumilivu, commitment na kujikataa na uifaham vizuri ni wachache wanaoweza kuweka mtaji wote na kufanikiwa
 
Tatizo humu watu tukiwapa code za michongo ya pesa wanaona tunafanya jokes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nina bro angu huyo ni muabeshi anaingia front anapiga mpunga sio wa kitoto, nyumba yake km kanunua mtaa, kutoka kwenye geti unachezea kilomita ndio unafika alipo!! Hii bongo kuna watu wana mawe bro [emoji3][emoji3][emoji3]
Bahati+ ujanja + mbinu lazima utoboe
Halafu usiwe na isirafu
Ipende hela ikupende hii ndio kauli mbiu yangu

Ila kama hela ukiifanya adui kila unapoipata unaimaliza nayo itakukimbia tu

Mimi nina urafiki wa karibu na hela

Ukitaka uwe nae urafiki na hela we save tu ili wakutane mfukoni mbona watakupenda [emoji1] [emoji1787]

Mtu anapokea tu hela mbio bar hataki urafiki kabisa na hela [emoji1]
 
Mkuu
Hakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi dini less [emoji23]
Mkuuu nakuomba sana usisahau kunitagi katika Uzi wa ku bet
 
Bahati+ ujanja + mbinu lazima utoboe
Halafu usiwe na isirafu
Ipende hela ikupende hii ndio kauli mbiu yangu

Ila kama hela ukiifanya adui kila unapoipata unaimaliza nayo itakukimbia tu

Mimi nina urafiki wa karibu na hela

Ukitaka uwe nae urafiki na hela we save tu ili wakutane mfukoni mbona watakupenda [emoji1] [emoji1787]

Mtu anapokea tu hela mbio bar hataki urafiki kabisa na hela [emoji1]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu ipate kwanza hiyo hela uwe nayo kabisa alaf tutafute sehem tulivu nikupe ushauri wakati huo tunasubiri mtu wa jikoni achome kuku awe wa brown kuku wangu sitataka aungue sijui wako unapendelea aweje
 
Lini utaleta hilo bandiko?
Hakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi dini less [emoji23]
 
Back
Top Bottom