Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Na mimi mmoja wao [emoji1]Hizo biashara za waabeshi bro [emoji23][emoji23][emoji23]
Kila fursa nimo
Nilipeleka ngano Iraq na vita imekolea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi mmoja wao [emoji1]Hizo biashara za waabeshi bro [emoji23][emoji23][emoji23]
Isije ikawa mbunye ya 30M tu badala ya noti.
Sawa malizana na DC kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bro tulia bas, me nataka kumtunzia kwa riba mbona unaharibu mchongo
Na mimi mmoja wao [emoji1]
Kila fursa nimo
Nilipeleka ngano Iraq na vita imekolea
Sawa malizana na DC kwanza
Bahati+ ujanja + mbinu lazima utoboeTatizo humu watu tukiwapa code za michongo ya pesa wanaona tunafanya jokes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nina bro angu huyo ni muabeshi anaingia front anapiga mpunga sio wa kitoto, nyumba yake km kanunua mtaa, kutoka kwenye geti unachezea kilomita ndio unafika alipo!! Hii bongo kuna watu wana mawe bro [emoji3][emoji3][emoji3]
Noted mkuu kweli tumekosea. I appologise.Nyie watu ni wapumbavu sana, mtu anaomba ushauri, wewe unakuja kuleta ufuska wa kitoto kwenye uzi wake
Mkuuu nakuomba sana usisahau kunitagi katika Uzi wa ku betHakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi dini less [emoji23]
Hahaha mkuu hivi huyu hua ni pisi ya DC kweli?Sawa malizana na DC kwanza
Noted mkuu kweli tumekosea. I appologise.
Usijaribu hii biashara utakufa kwa preshanawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Kwa kuwa bado uko shuleni unahitaji concentration kwenye masomoNawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Bahati+ ujanja + mbinu lazima utoboe
Halafu usiwe na isirafu
Ipende hela ikupende hii ndio kauli mbiu yangu
Ila kama hela ukiifanya adui kila unapoipata unaimaliza nayo itakukimbia tu
Mimi nina urafiki wa karibu na hela
Ukitaka uwe nae urafiki na hela we save tu ili wakutane mfukoni mbona watakupenda [emoji1] [emoji1787]
Mtu anapokea tu hela mbio bar hataki urafiki kabisa na hela [emoji1]
Hakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi dini less [emoji23]
Leta tuwekeze kwenye Dawaa hutajutaa kamweee... Usichelewee ndugu
Si yule mnaebebishanaDC tenaaa?!!! Yupi huyo? Mimi unanichanganya ujue na hiz code zako kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikki wa pili?Si yule mnaebebishana
Si yule mnaebebishana