Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Pole sana.

Usaliti ni kosa lisilo na Msamaha. Uliza popote pale sio mbinguni, kuzimu wala duniani.

Wengine watakudanganya usamehe ilhali utakuwa unajidanganya huku moyo ukiendelea kuumia.

Zingatia, kama hujawahi kumsaliti unahaki ya kumuacha.
 
Watu wa 'Kataa Ndoa' kila siku iendayo kwa Mungu wanazidi kujikusanyia Points.
 
Kwanza kabisa nyundo 46 wewe si kijana bali mzee aliechangamka, pili kwa kuwa tayali wewe ni mzee achana na mbanga za talaka angalia namna ya kumalizana na mzee mwenzio kwa maslahi mapana ya watoto wenu
 
Usimdanganye mwenzio shekh.
Hapo hakuna kesi, na hiyo ilikua ni makubaliano ya hiyari.
Kwa ushauri huu, naona unaenda kumuingiza jamaa kwenye aibu nyingine ambayo itakua fedheha hadi kwa watoto na itawaumiza maisha yao yote.
Kimsingi jamaa hata hakupaswa kuja kuomba ushauri hapa, zaidi alipaswa aje atupe simulizi (kama angependa) kwa kilicho tokea na tayari amemuacha huyo mwanamke na ndipo aombe ushauri wa namna ya kulea watoto ama tumshauri namna ya kuanza upya.
 
Naenda kufungua Microfinance, huku pisi unabaka na zinajua zikipiga kelele hamna mtu ataamini zimebakwa.
 
Naenda kufungua Microfinance, huku pisi unabaka na zinajua zikipiga kelele hamna mtu ataamini zimebakwa.
 
Sijawahi kusaliti tangu Niingie ndoani
 
Wewe ndo tatizo, hela ya ujenzi unakopa ya nini..?
Ujenzi una haraka gani..?
Huyo Jamaa hakikisha unamfanya msukule, usiwaze mara mbili wala, ingia Pangani chap kwa haraka, akalimishwe nazi Tanga huko
Mkuu Umesoma Vizuri..
Ni kwamba kuna baadhi ya Vifaa vilipelea na ilikuwa inahitajika haraka..bank ingechelewa kutoka..
So ikabidi akachukue kwa Microfinance Wanakoacha kadi
 
nakushauri utafute viongozi wa kidini
Mkuu kuna kiongozi alifuatwa anusuru ndoa akaomba aongee na mwanamke, baada ya hapo mwanamke akawa mtiifu kwa mumewe jamaa akapeleka na fungu kwa mtumishi asijue mtumishi ndio anaekula mkewe kamwambia kama anataka waendelee amuheshimu mumewe akiendelea kumfatilia atawakamata.
 
Mwanaume? miaka 46 unampa mkeo talaka? hao watoto wataishije, acha ubinafsi ww! Leo familia acha masimango unampa talaka na mkopo kakuchukulia mfyuuu
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…