Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Mke achunguzwi ukimchunguza means uwe na uwakika wa kuacha sasa wewe umechunguza umejua then unalialia hapa
Mke achunguzwi
Mke achunguzwi
Mke achunguzwi
 
Mkuu nikupe Siri?Siku hzi hakuna usalama mtaani wake za watu wanaliwa kishenzi mbaya zaidi na hawa vijana wadogo wanyoa viduku na boda boda,hivyo nikupe tu moyo bora wako kaliwa na mtoa mkopo.
 
Miaka 46 sio kijana
Ruge Mwongaza Njia Alifariki Na Miaka 48 Na Watu Waliimba Na Kusherehekea Maisha Yake
Wakisema Amefariki Akiwa Kijana Mdogo Sana

KKwahiyo 46 Bado Sana

Ushauri Wangu Ishi Na Mkeo Hata Ukimwacha Utaoa Na Utazaa Tena, Wale Watoto Wako Watapata Tabu
 
Habari wanajamvi naandika Bango Hili nikiwa sijui nini nifanye na nikiwa nimechanganyikiwa Kwa Yaliyotokea na sielewi hili.wala lile.

IKo hivi Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 46, Nilikuwa nina Mke wangu ana Umri wa Miaka 34 Tulikuwa Tunaishi naye lakini kutokana na mambo Ya kimajukumu Ukabidi Niende Dodoma kama miezi mitano au sita Ilopita Na yeye Nikamuacha Tabora.

Tulikuwa tunawasiliana Vizuri tu na kuna kipindi Ilitokea Shida kidogo mwezi mmoja baada ya mimi Kuondoka, Kulitokea Hitilafu Kwenye Ujenzi tunaofanya hapo Kahama kwakuwa nilikuwa mbali na yeye Ni mfanyakazi wa Serkali nikamuomba akakope Pesa Kiasi halafu nitakuja Kufidishia (Ndiyo Tinavyofanya siku zote).

Kama Jukumu likiwa la kwangu na yeye akiwa na means ya kufanya bhasi anafanya Mimi naandika deni.

Kwakuwa Benki walikuwa wanachelewa Ikabidi aende kwa wanaoacha Kadi akafanikiwa na kupata pesa na kila mwezi akawa anakatwa pesa zake na alikuwa anafata kiasi kinachobaki hapo ofisini..

Wiki Moja kabla nikawa Nahisi Kama Kuna uwezekano Mke wanhu ananisaliti (Mimi ni mtu wa Kufanya Sana Meditation Hivyo Hisia zikinijia bhasi lazma nizifanyie Meditation Kwa siku angalau mbili na huwa napewa clear Picture)..

Kipindi nafanya Meditation nikawa naona kabisa Mke wangu ananisaliti sasa Baada ya miezi minne kuondoka huko Nikawa namuuliza Huko ni salama mbona kama kuna kitu kibaya unafanya jibu lake hakuna shida yoyote.

Guyz huyo jamaa wa Microfinace simjui na Sijakutana naye ila kuna kitu kikawa kina niambia nimuulize Wife na nimkazanie kuhusu Huyo mtu kwa nguvu mpaka aseme ikibidi Nitumie uongo wowote kama mwanaume..

Nilifanikiwa Kimlazimisha na kumuuliza hatimaye akaamua kugunguka kuwa yule Jamaa wa Microfinace alimbaka Yeye alipokuwa Ofisini kwake Kuchukua Kiasi cha Pesa Kilichobaki na wala haikuwa dhamiri yake.

Nikamuiliza Umereport tukio hilo akajibu "Hapana"
Nikamuuliza Ulipiga kelele akajibu "Hapana maana nisingesikika wala watu wasingeniamini"

Nikawaza sana huyu Wife nimezaa Naye watoto watatu..
Na anassma alimbaka Miezi minne Exactly tangu nilivyoondka ila nisingemuuliza Nadhani ingeendelea Kuwa story ya siri yake..

Ninawaza kumpa Talaka Tatu ila bado nahofu na watoto wangu Nimempa Talaka 2 ila akili yangu bado inaona nimeumizwa sana nastahili kufanya kitu ila bado moyo unavuja damu nifanye nini??

Naombeni wan JF mnishauri Nifanye Nini maana naumia Sana.

Na kwa maelezo yake Bado siamini kabisa.

Naombeni sana Ushauri maana ametishia Kujiua endapo sitamrejea
Pole sana. Inaonekana wewe hujawahi msaliti ndio maana unaumia sana. Sasa kama hajawahi kuomba msamaha kwa dhati basi mkeo atakuwa na mwendelezo na jamaa. Huo ndio ukweli. Kutengana kwa wanandoa kwa sababu za kikazi ni janga
 
Naweza kusema kuna kitu hakiko sawa na nafikiri mkeo kakusaliti mara nyingi zaidi ya hiyo kwakuwa hujui.
 
Hahaha Ila Comment za Humu Nimecheka Sana!
Wengine Badala ya kushauri wanasimanga🤣🤣

Mdogo wangu!
Nisilize Maisha yanatia Hofu sana, Ila Moyo ni hofu zaidi ya Hayo maisha...

Kama moyo wako bado una machungu na Mkeo hakikisha Unakaa naye mbali uwezevyo kwa muda jipe muda wa Kupona maana nimeona Umeandika mahali kwamba licha ya maumivu una hasira..

Sasa nisikilize Usikae Naye nyumba moja ukiwa bado unajiponya Hicho kidonda..

Stress +Hasira+ Deppresion Sio Combinantion nzuri Maana kitakachoendelea Unaweza ukamdhuru na kusababisha matatizo makubwa sana..

Nimeona Umeandika kuwa umetoa Talaka 2 so obvious wewe ni mwislamu..

Eda Ina miezi minne na nusu tumia Eda Kufikiria maamuzi yako na Kujiponya mwenyewe..
Na kama utaona kuna haja ya Kumrudia Fanya hivyo..

Asante!
 
Habari wanajamvi naandika Bango Hili nikiwa sijui nini nifanye na nikiwa nimechanganyikiwa Kwa Yaliyotokea na sielewi hili.wala lile.

IKo hivi Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 46, Nilikuwa nina Mke wangu ana Umri wa Miaka 34 Tulikuwa Tunaishi naye lakini kutokana na mambo Ya kimajukumu Ukabidi Niende Dodoma kama miezi mitano au sita Ilopita Na yeye Nikamuacha Tabora.

Tulikuwa tunawasiliana Vizuri tu na kuna kipindi Ilitokea Shida kidogo mwezi mmoja baada ya mimi Kuondoka, Kulitokea Hitilafu Kwenye Ujenzi tunaofanya hapo Kahama kwakuwa nilikuwa mbali na yeye Ni mfanyakazi wa Serkali nikamuomba akakope Pesa Kiasi halafu nitakuja Kufidishia (Ndiyo Tinavyofanya siku zote).

Kama Jukumu likiwa la kwangu na yeye akiwa na means ya kufanya bhasi anafanya Mimi naandika deni.

Kwakuwa Benki walikuwa wanachelewa Ikabidi aende kwa wanaoacha Kadi akafanikiwa na kupata pesa na kila mwezi akawa anakatwa pesa zake na alikuwa anafata kiasi kinachobaki hapo ofisini..

Wiki Moja kabla nikawa Nahisi Kama Kuna uwezekano Mke wanhu ananisaliti (Mimi ni mtu wa Kufanya Sana Meditation Hivyo Hisia zikinijia bhasi lazma nizifanyie Meditation Kwa siku angalau mbili na huwa napewa clear Picture)..

Kipindi nafanya Meditation nikawa naona kabisa Mke wangu ananisaliti sasa Baada ya miezi minne kuondoka huko Nikawa namuuliza Huko ni salama mbona kama kuna kitu kibaya unafanya jibu lake hakuna shida yoyote.

Guyz huyo jamaa wa Microfinace simjui na Sijakutana naye ila kuna kitu kikawa kina niambia nimuulize Wife na nimkazanie kuhusu Huyo mtu kwa nguvu mpaka aseme ikibidi Nitumie uongo wowote kama mwanaume..

Nilifanikiwa Kimlazimisha na kumuuliza hatimaye akaamua kugunguka kuwa yule Jamaa wa Microfinace alimbaka Yeye alipokuwa Ofisini kwake Kuchukua Kiasi cha Pesa Kilichobaki na wala haikuwa dhamiri yake.

Nikamuiliza Umereport tukio hilo akajibu "Hapana"
Nikamuuliza Ulipiga kelele akajibu "Hapana maana nisingesikika wala watu wasingeniamini"

Nikawaza sana huyu Wife nimezaa Naye watoto watatu..
Na anassma alimbaka Miezi minne Exactly tangu nilivyoondka ila nisingemuuliza Nadhani ingeendelea Kuwa story ya siri yake..

Ninawaza kumpa Talaka Tatu ila bado nahofu na watoto wangu Nimempa Talaka 2 ila akili yangu bado inaona nimeumizwa sana nastahili kufanya kitu ila bado moyo unavuja damu nifanye nini??

Naombeni wan JF mnishauri Nifanye Nini maana naumia Sana.

Na kwa maelezo yake Bado siamini kabisa.

Naombeni sana Ushauri maana ametishia Kujiua endapo sitamrejea
Miezi 6 huna mke, iwapo wewe binafsi hujawahi kumsaliti ukiwa kwa kipindi hicho muache, kama umeshawahi kukutana na mchepuko huko, msamehe
 
Ila haya maisha haya basi tu. Wanawake wanasema wanajiweza pia hivyo 50/50 ila cha kushangaza pesa mtafute wote ila mwanaume ndio ufanye maendeleo yeye akiweka pesa yake kwako linakua deni.

POle mkuu,,mwanamke sio ndugu yako unatakiwa ulikumbuke hilo.
 
Mimi namsapoti huyo mwanamke.
Haiwezekani miezi minne mke wako ujamuona halafu unakaa unamlazimisha kwamba mbona ninahisi kuna kitu kibaya, ushaambiwa hakuna unakaa kulazimisha vitu.
Sasa hapo kashakwambia amebakwa na hajapiga kelele na hajasema kokote. Mpe talaka mjiandae kugawana na mali hizo. Maana vifo vingine ni vya kutafuta kwa nguvu.😂😂😂
Jitu linaambiwa hakuna kitu unakaa kulazimisha. Ndio hivyo kabakwa kelele hajapiga na hataki kuripoti toa talaka mgawane mali na hilo deni la hiyo nyumba utalilipa wewe. Na hiyo nyumba mtagawana hapo hapo ilipofikia.
 
Habari wanajamvi naandika Bango Hili nikiwa sijui nini nifanye na nikiwa nimechanganyikiwa Kwa Yaliyotokea na sielewi hili.wala lile.

IKo hivi Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 46, Nilikuwa nina Mke wangu ana Umri wa Miaka 34 Tulikuwa Tunaishi naye lakini kutokana na mambo Ya kimajukumu Ukabidi Niende Dodoma kama miezi mitano au sita Ilopita Na yeye Nikamuacha Tabora.

Tulikuwa tunawasiliana Vizuri tu na kuna kipindi Ilitokea Shida kidogo mwezi mmoja baada ya mimi Kuondoka, Kulitokea Hitilafu Kwenye Ujenzi tunaofanya hapo Kahama kwakuwa nilikuwa mbali na yeye Ni mfanyakazi wa Serkali nikamuomba akakope Pesa Kiasi halafu nitakuja Kufidishia (Ndiyo Tinavyofanya siku zote).

Kama Jukumu likiwa la kwangu na yeye akiwa na means ya kufanya bhasi anafanya Mimi naandika deni.

Kwakuwa Benki walikuwa wanachelewa Ikabidi aende kwa wanaoacha Kadi akafanikiwa na kupata pesa na kila mwezi akawa anakatwa pesa zake na alikuwa anafata kiasi kinachobaki hapo ofisini..

Wiki Moja kabla nikawa Nahisi Kama Kuna uwezekano Mke wanhu ananisaliti (Mimi ni mtu wa Kufanya Sana Meditation Hivyo Hisia zikinijia bhasi lazma nizifanyie Meditation Kwa siku angalau mbili na huwa napewa clear Picture)..

Kipindi nafanya Meditation nikawa naona kabisa Mke wangu ananisaliti sasa Baada ya miezi minne kuondoka huko Nikawa namuuliza Huko ni salama mbona kama kuna kitu kibaya unafanya jibu lake hakuna shida yoyote.

Guyz huyo jamaa wa Microfinace simjui na Sijakutana naye ila kuna kitu kikawa kina niambia nimuulize Wife na nimkazanie kuhusu Huyo mtu kwa nguvu mpaka aseme ikibidi Nitumie uongo wowote kama mwanaume..

Nilifanikiwa Kimlazimisha na kumuuliza hatimaye akaamua kugunguka kuwa yule Jamaa wa Microfinace alimbaka Yeye alipokuwa Ofisini kwake Kuchukua Kiasi cha Pesa Kilichobaki na wala haikuwa dhamiri yake.

Nikamuiliza Umereport tukio hilo akajibu "Hapana"
Nikamuuliza Ulipiga kelele akajibu "Hapana maana nisingesikika wala watu wasingeniamini"

Nikawaza sana huyu Wife nimezaa Naye watoto watatu..
Na anassma alimbaka Miezi minne Exactly tangu nilivyoondka ila nisingemuuliza Nadhani ingeendelea Kuwa story ya siri yake..

Ninawaza kumpa Talaka Tatu ila bado nahofu na watoto wangu Nimempa Talaka 2 ila akili yangu bado inaona nimeumizwa sana nastahili kufanya kitu ila bado moyo unavuja damu nifanye nini??

Naombeni wan JF mnishauri Nifanye Nini maana naumia Sana.

Na kwa maelezo yake Bado siamini kabisa.

Naombeni sana Ushauri maana ametishia Kujiua endapo sitamrejea
Mnaowatuma wake zenu kwenda kukopa fedha mna matatizo makubwa. Ni rahisi sana mwanamkwe kutombwa kwa kipindi ambacho mi mhitaji wa fedha yyte ile otherwise mkopeshaji awe wa kuheshimu
 
Ninachokina hapa huyu mwanamke hajabakwa kampa mshikaji kiroho safi!
Na kampa zaidi ya mara moja!
Iyo kubakwa ni kuhadaa ili umuone kwamba hana hatia.
Kama kweli angebakwa lazima angakuambia siku ile ile ili mchukue hatua na sio kukaa kimya!
Pia angeshatoa taarifa kwa vyombo husika, angepiga kelele, etc yani lazima angekuonesha aina ya ushirikiano tangu mwanzo na sio kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom