Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Pole sana mkuu kwa hili
But pia unatakiwa kujua kuwa mahusiano sio ya watu wengi ni ya wew na mkeo so unavoomba ushauri u have to know humu unapoomba ushauri wengine wamevurugwa na maisha tayarii wanaweza kukupa ushauri wa kijinga na ww ushindwe kuelewa ukautumie just listen to your heart kinaongea nin ufanye maamuz yenye ambayo hayatakuletea majuto kwa mda mwingin

Lakini pia wewe una watu ambao ni kama viongozi maybe kwenye dini or kwenye ndoa yenu yupo ambae mnamueshimu just follow them afu sasa hao ndo watakupa ushauri

Sio kila mtu ni wa kukupa ushauri my friend. Pole sana for the situation
 
Mkuu, kwa afya ya maisha yako, MSAMEHE. Fanya juhudi za kuishi nae pamoja.

SAMEHE.
Fuata ushauri huu,huu ndio ushauri mzuri.Na wala usilete kumbukumbu tena moyoni mwako.
Sio kazi rahisi kama mnavyofikiria vijana na jinsi wanaume tulivyo na wivu hivi 😂😂😂😂 Mtasababisha mmama wa watu siku moja anyongwe huko hayaa nyie lazimisheni watu hivyohivyo kuishi na watu waliovunja mioyo yao na ikavuja damu.

Ndugu yangu watoto atakuwa anawatembelea tu kwa mama yao tena itakuwa ni salama ya mama yao wewe kumtaliki, wangapi wameishi na mzazi mmoja na wamekua vizuri tu na saizi wana familia zao wanaishi nazo kwa upendo?

Ko mkishauri mtu asamehe na kusahau jueni mnakaribisha balaalingine zito sasa.
 
Mtu una miaka 46 , unakaribia kustaafu unajiita kijana
 
Pole mkuu,sema chakufanya tuliza moyo ,ndio utoe mahamuzi,usikulupuke,
 
Ko huyo mwanamke alipokuwa anasaliti alikuwa hafikirii kesho ya watoto wake endapo mumewe atajua?

Kwanini mtendwa tu ndiyo mnamkumbusha sana suala la fyucha ya watoto?

Watoto ataendelea kuwahudumia tu, ila mwanamke msaliti kuvumilika ni ngumu aisee!
 
Mkuu Umesoma Vizuri..
Ni kwamba kuna baadhi ya Vifaa vilipelea na ilikuwa inahitajika haraka..bank ingechelewa kutoka..
So ikabidi akachukue kwa Microfinance Wanakoacha kadi
Wewe ndo hujanielewa, ujenzi hauna haraka siku zote
Ukitaka haraka haraka ndo matokeo yake hayo.
 
Sema bado kakudanganyaaa... Hajambakaa mara mojaaaaa mkuu..!!
 
Talaka hata utowe mia kwa wakati mmoja inahesabika moja tu.
 
Babu jinga mali zako zimeliwa.

Uamuzi ni wako, usameh na uishi nae au usisameh muwachane.

Nini kinakutatiza hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…