Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Okay.
Je meditation haiwezi saidia ukapata solution?
Meditation Inahitaji Utulivu wa Nafsi na hata mwili uwe umetulia..

Kwa sasa Siwezi kwa sababu bado nafsi inateseka hasira,Huzuni na hata Majonzi na machozi yananisonga..

Naumia sana na natamani nikipata Utilivu wa Nafsi nifanye ila Napata hasira na maumivu makali sana yanayofanya namiss Concentration
 
Pole sana. Inaonekana ulikuwa unamwamini sana mke wako. Tuko wengi tuliopitia haya mambo. Sema wewe ulitakiwa usiwe na papara, unyate mpaka uwakamate. Ushauri wangu: Mwambie huyo mke wako aende polisi akatoe habari na anaseme kuwa alitishiwa maisha ndiyo maana akaogopa kufanya lolote. Bila shaka kwa Tanzania, itakuwa ngumu sana kuthibisha huo ubakaji, ila utakuwa angalau ''umemtingisha'' huyo mla mali za watu. Na kama ana mke, fanya mpango mke wake ajue. Ukienda polisi jiandae kuwa na fedha ya kuhonga na mbaya zaidi kama huyo jamaa ana fedha zaidi yako itakuwa kesi ngumu.
Ni kweli Kabisa Mkuu Hivi mama Dkt. Gwajima D hawezi kunisaidia au hakuna Sheria "Kama kweli amebakwa" za kufuata..

Na kiukweli Mkuu Nilikuwa Ninamwamini sana Mke wangu kwa sababu nimekuwa naye kwa muda mrefu kwenye Ndoa kama miaka 8 hivi
 
Fuata ushauri huu,huu ndio ushauri mzuri.Na wala usilete kumbukumbu tena moyoni mwako.
Mkuu Tatizo kumbukumbu Kuiondoa Ni vigumu sana na Tayri Doa lipo moyoni..
Natamani kuufata huo ushauri ila naumia sana hata nikiona simu yake
 
Haikuwa Rahisi Unajua mwanaume Ukitaka kumbana Msichana sio Kazi kubwa..

Nilijivika Confidence Kubwa sana ya Kumuaminisha nimeambiwa matukio Mengi sana kuhusu Yeye Na watu Wa hapo Mtaani na wao wameelezwa na walioyafanya..
Confidence niliouliza nayo Ndo iliyomshangaza Sikutaka kuuliza kama mtu anayetaka Uhakika Ila mtu mwenye Uhakika na analalamika kwa nini Amefanya hivyo..

Na unajua sisi wanaume huwa tunasoma Reaction zako Kipindi unajibu Maswali na Hapo ndo niligundua..
Kama ni hivi basi mchepukaji. Kikubwa fungua moyo msamehe ila mpe likizo akajifunze akirud hata rudia. Lakini pia fanya mpango muishi pamoja ujue hainywagi uji ile. By the way wewe huko miezi yote mi5 hujachuja mkuu?hujachepuka
 
Habari wanajamvi naandika Bango Hili nikiwa sijui nini nifanye na nikiwa nimechanganyikiwa Kwa Yaliyotokea na sielewi hili.wala lile..

IKo hivi Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 46.., Nilikuwa nina Mke wangu ana Umri wa Miaka 34 Tulikuwa Tunaishi naye lakini kutokana na mambo Ya kimajukumu Ukabidi Niende Dodoma kama miezi mitano au sita Ilopita Na yeye Nikamuacha Tabora..

Tulikuwa tunawasiliana Vizuri tu na kuna kipindi Ilitokea Shida kidogo mwezi mmoja baada ya mimi Kuondoka, Kulitokea Hitilafu Kwenye Ujenzi tunaofanya hapo Kahama kwakuwa nilikuwa mbali na yeye Ni mfanyakazi wa Serkali nikamuomba akakope Pesa Kiasi halafu nitakuja Kufidishia (Ndiyo Tinavyofanya siku zote)...

Kama Jukumu likiwa la kwangu na yeye akiwa na means ya kufanya bhasi anafanya Mimi naandika deni..
Kwakuwa Benki walikuwa wanachelewa Ikabidi aende kwa wanaoacha Kadi..akafanikiwa na kupata pesa na kila mwezi akawa anakatwa pesa zake na alikuwa anafata kiasi kinachobaki hapo ofisini..

Wiki Moja kabla nikawa Nahisi Kama Kuna uwezekano Mke wanhu ananisaliti (Mimi ni mtu wa Kufanya Sana Meditation Hivyo Hisia zikinijia bhasi lazma nizifanyie Meditation Kwa siku angalau mbili na huwa napewa clear Picture)..

Kipindi nafanya Meditation nikawa naona kabisa Mke wangu ananisaliti sasa Baada ya miezi minne kuondoka huko Nikawa namuuliza Huko ni salama mbona kama kuna kitu kibaya unafanya jibu lake hakuna shida yoyote..
Guyz huyo jmaa wa Microfinace simjui na Sijakutana naye ila kuna kitu kikawa kina niambia Nimuulize Wife na nimkazanie kuhusu Huyo mtu kwa nguvu mpaka aseme ikibidi Nitumie uongo wowote kama mwanaume..

Nilifanikiwa Kimlazimisha na kumuuliza hatimaye akaamua kugunguka kuwa Yule Jamaa wa Microfinace alimbaka Yeye alipokuwa Ofisini kwake Kuchukua Kiasi cha Pesa Kilichobaki na wala haikuwa dhamiri yake..

Nikamuiliza Umereport tukio hilo akajibu "Hapana"
Nikamuuliza Ulipiga kelele akajibu "Hapana maana nisingesikika wala watu wasingeniamini"

Nikawaza sana Huyu Wife Nimezaa Naye watoto watatu..
Na anassma alimbaka Miezi minne Exactly tangu nilivyoondka ila nisingemuuliza Nadhani ingeendelea Kuwa story ya siri yake..

Ninawaza kumpa Talaka Tatu ila bado nahofu na watoto wangu Nimempa Talaka 2 ila akili yangu bado inaona nimeumizwa sana nastahili kufanya kitu ila bado moyo unavuja damu nifanye nini??

Naombeni wan JF mnishauri Nifanye Nini maana naumia Sana..
Na kwa maelezo yake Bado siamini kabisa..
Naombeni sana Ushauri maana ametishia Kujiua endapo sitamrejea
46yrs, you can not make decision?
 
NB. Umenifungua macho sana kwenye issue ya meditation, kama umeweza kuitumia kutambua tatizo lililokuwepo na ikawa kweli, je, meditation haiwezi kukupa solution ya tatizo linalokusibu?
Inaweza Ila tatizo ni Concentration Mkuu!
Mwili Nauhisi Umejaa hasira, Majonzi na kukata tamaa..
Mwili hauko kwenye Utulivu na hata akili Inawaza vitu Vingi dots Nyingj zinajiconnect nikiwa Peke yangu..naumia sana..
na hii hali ya kukosa Utulivu Haifai kwenye meditation
 
Wanaobakwa ni watoto na wanafunzi.

Miaka 34 habakwi ila anaichomeka mwenyewe..

Tena anaikatikia na mauno kabisa.
 
Habari wanajamvi naandika Bango Hili nikiwa sijui nini nifanye na nikiwa nimechanganyikiwa Kwa Yaliyotokea na sielewi hili.wala lile.

IKo hivi Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 46, Nilikuwa nina Mke wangu ana Umri wa Miaka 34 Tulikuwa Tunaishi naye lakini kutokana na mambo Ya kimajukumu Ukabidi Niende Dodoma kama miezi mitano au sita Ilopita Na yeye Nikamuacha Tabora.

Tulikuwa tunawasiliana Vizuri tu na kuna kipindi Ilitokea Shida kidogo mwezi mmoja baada ya mimi Kuondoka, Kulitokea Hitilafu Kwenye Ujenzi tunaofanya hapo Kahama kwakuwa nilikuwa mbali na yeye Ni mfanyakazi wa Serkali nikamuomba akakope Pesa Kiasi halafu nitakuja Kufidishia (Ndiyo Tinavyofanya siku zote).

Kama Jukumu likiwa la kwangu na yeye akiwa na means ya kufanya bhasi anafanya Mimi naandika deni.

Kwakuwa Benki walikuwa wanachelewa Ikabidi aende kwa wanaoacha Kadi akafanikiwa na kupata pesa na kila mwezi akawa anakatwa pesa zake na alikuwa anafata kiasi kinachobaki hapo ofisini..

Wiki Moja kabla nikawa Nahisi Kama Kuna uwezekano Mke wanhu ananisaliti (Mimi ni mtu wa Kufanya Sana Meditation Hivyo Hisia zikinijia bhasi lazma nizifanyie Meditation Kwa siku angalau mbili na huwa napewa clear Picture)..

Kipindi nafanya Meditation nikawa naona kabisa Mke wangu ananisaliti sasa Baada ya miezi minne kuondoka huko Nikawa namuuliza Huko ni salama mbona kama kuna kitu kibaya unafanya jibu lake hakuna shida yoyote.

Guyz huyo jamaa wa Microfinace simjui na Sijakutana naye ila kuna kitu kikawa kina niambia nimuulize Wife na nimkazanie kuhusu Huyo mtu kwa nguvu mpaka aseme ikibidi Nitumie uongo wowote kama mwanaume..

Nilifanikiwa Kimlazimisha na kumuuliza hatimaye akaamua kugunguka kuwa yule Jamaa wa Microfinace alimbaka Yeye alipokuwa Ofisini kwake Kuchukua Kiasi cha Pesa Kilichobaki na wala haikuwa dhamiri yake.

Nikamuiliza Umereport tukio hilo akajibu "Hapana"
Nikamuuliza Ulipiga kelele akajibu "Hapana maana nisingesikika wala watu wasingeniamini"

Nikawaza sana huyu Wife nimezaa Naye watoto watatu..
Na anassma alimbaka Miezi minne Exactly tangu nilivyoondka ila nisingemuuliza Nadhani ingeendelea Kuwa story ya siri yake..

Ninawaza kumpa Talaka Tatu ila bado nahofu na watoto wangu Nimempa Talaka 2 ila akili yangu bado inaona nimeumizwa sana nastahili kufanya kitu ila bado moyo unavuja damu nifanye nini??

Naombeni wan JF mnishauri Nifanye Nini maana naumia Sana.

Na kwa maelezo yake Bado siamini kabisa.

Naombeni sana Ushauri maana ametishia Kujiua endapo sitamrejea
Pole Sana .

Ila naomba uni-pm nikupe insight hilo tatizo lako ni Dogo Sana .

Sio tu mapenzi yanasumbua kuna mambo mengi unapitia hayapo sawa in ur life
 
Kama ni hivi basi mchepukaji. Kikubwa fungua moyo msamehe ila mpe likizo akajifunze akirud hata rudia. Lakini pia fanya mpango muishi pamoja ujue hainywagi uji ile. By the way wewe huko miezi yote mi5 hujachuja mkuu?hujachepuka
Hapana Sijachepuka Mkuu Nipo Kikazi zaidi na mawazo mengi huwa Ni kazi Mimi bi very Loyal na ndo maana Imeniuma Sana..
 
Meditation Inahitaji Utulivu wa Nafsi na hata mwili uwe umetulia..

Kwa sasa Siwezi kwa sababu bado nafsi inateseka hasira,Huzuni na hata Majonzi na machozi yananisonga..

Naumia sana na natamani nikipata Utilivu wa Nafsi nifanye ila Napata hasira na maumivu makali sana yanayofanya namiss Concentration
Usiache hayo maumivu ukae nayo muda mrefu, yatakuletea matatizo mengine kiafya hasa kwenye upande wa nerves, jitahidi kadri uwezavyo usahau hilo tatizo lililokupata, na best way ya kusahau ni kusamehe, sio kuacha, ukizidi kuwa mgumu wa kusamehe basi fahamu ndivyo utazidi kujitesa kwa mawazo yasiyo na mwisho, baadae uanze kuhangaika kutibu magonjwa.
 
Back
Top Bottom