Tukipata katiba mpya, tupitie mikataba yote kama huu wa mkarandasi wa gharama kubwa, Kuuzwa kwa Loliondo, matumizi ya mikopo, nk.
Watu washitakiwe resprospectively. Hata kama hawako madarakani.
Kuondoa kinga ya kutoshistakiwa kwa kiongozi yoyote kama Rais, makamu na viongozi wote itasaidia sana kuwa na uwazi wa hii mikataba tunayoingia.
Swali la kujiuliza ni vigezo gani vilivyo tumika kuajiri outside sources zenye gharama kutokana na tatizo lilikuwepo?
Nature ya tatizo ni beyond ya engineers wetu?
Kwanini hawana utaalamu wa kutatua hilo tatizo? Hawana uelewa wa mechanical system nzima to how it works, na kwanini awakupewa training kabla ya kusimamia operation (there is no point of having engineers the oversee the system if they can’t do trouble shoot or repair faults).
Kwa kifupi hiyo wizara inahitaji mtaalamu. TANESCO ni technical
ni taasisi chache duniani ambazo zinataka mtaalamu wa maswala ya umeme aliefundishwa management skills. with time; sio mropokaji kama Maharage Chande.
Juzi nimemskiliza mkurugenzi wa TANESCO anaapa hakuna kufunguliwa kwa maji.
Sasa nilitegemea kwenye kuhakikisha kwake atasema tunajua kisayansi mabwawa yote ya maji yakijaa kila moja muda wake wa kuisha.
Tunapokea report ya kina cha maji kila siku na kujiridhisha kutokana na matumizi yake kisayansi na kama kuna sababu za kupungua kwa kina tofauti na sababu za kisayansi tunachunguza.
Tuna yellow and red alerts za kuchukua tahadhari kuhakikisha maji yapo na kuelezea nini kinafanyika kabla ya chanzo kukosa maji ya kuzalisha umeme..
Hila majibu yake yalikuwa ujinga mtupu ayaonyeshi kama mtu mwenye uelewa wa inventory control ya mabwawa.
Huyo waziri mwenyewe ukimsikiliza ndio salaleh, muhimu asije kujiongombea na rafiki zake wengine anaotaka kuwapa departments sensitive hawana wanachokijua.