Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani

ni ngumu kufikia hitimisho kwa hili tu, maana hatuwezi jua huwenda DP ajae akatokea Mlimani na akawa better zaidi ya Riggy G
Tusubirie lkn hakika soon wataanza kuvurugana
 
It was expected, nothing new.

Kwa hali jinsi ilivyokuwa DP Gachagua alipaswa kujiudhuru haraka Sana mara tu alipopigiwa kura na Wabunge juu ya kukosa Imani naye. Kwa namna yoyote ile Gachagua asingeweza kunusurika kwenye vurumai hiyo kwa sababu tayari alishazingirwa na maadui zake na kuwekwa mtu Kati.
 
Kikuyu Arrogance
 
Angejiuzuru kabla ingeua career yake.
 
Huyumpuuzi kaingia na wenziee na matokeoo mapemaa wakaona ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…