Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Hakuna adui, ni mwizi tuu na kutumia madaraka vibaya, mkeka uliwekwa wazo akashindwa Kujitetea , guilty verdict in almost everything , aishieIt was expected, nothing new.
Kwa hali jinsi ilivyokuwa DP Gachagua alipaswa kujiudhuru haraka Sana mara tu alipopigiwa kura na Wabunge juu ya kukosa Imani naye. Kwa namna yoyote ile Gachagua asingeweza kunusurika kwenye vurumai hiyo kwa sababu tayari alishazingirwa na maadui zake na kuwekwa mtu Kati.
Kenya ukishakua impeached huruhusiwi tena kushika madaraka ya umma.Hata hivyo amepambana sana, lakini bila shaka rafiki yake Ruto ndio ameamla kumtosa ili kulinda kiti cha uRais.
Na kunyume chake sinto shangaa ikawa ndio political milage ya Righathi Gachagua kwa mwaka wa uchaguzi akagombea kiti ya Presidency
Inayomlinda mh raisHii ndiyo Katiba inayowajibisha wenye dhamana
Vizuri amekuwa impeached kwa sababu sasa atasema ukweli na Gen Z wakirudi barabarani huyo jambazi wa Ikulu atassga menoInayomlinda mh rais
Rigdy biggest problem wa s to have a go at the president … na baada ya kuweka publicly hasa kwenye genZ war
Establishments hazina hizo jinopembe
You have not been listening to the president. They are cut from the same cloth. Also he said the shareholders thing a long time ago. Why didn't they prosecute him then?Liende tuu, lina siasa za old school na ukabila, linaongea linafoka utafikiri linaongea na watoto wake, sample yake ni yale yakipata madaraka linafikiri lipo above the law, pumbaf sana
Jambazi mkuu Bado yupo paleVizuri amekuwa impeached kwa sababu sasa atasema ukweli na Gen Z wakirudi barabarani huyo jambazi wa Ikulu atassga meno
Uhuni mtupu na umeasisiwa na Ruto.Very well argued Mkuu, jamii forum Bado tupo vizuri
Majority humu hawajua hata kinachoendelea Kenya zaidi ya kushabikia wakiamini ndiyo demokrasia
Vipi akishinda mahakamani? Unaelewa ninachojadili lakini au unaleta ujuaji?Removed from the office by impeachment inakuondolea sifa ya kugombea cheo chochote Kenya
Sidhani kama ukisha kuwa impeached na Seneti unaruhusiwa Tena kugombea, kikatiba!Righathi Gachagua kwa mwaka wa uchaguzi akagombea kiti ya Presidency
Wananchi ni Seneti...!kwa wananchi kupitia na kujiridhisha kikamilifu na tuhuma zilizoelekezwa kwake.
Kuna uwezekano ali orchestrate zile vurugu!!!????Inayomlinda mh rais
Rigdy biggest problem wa s to have a go at the president … na baada ya kuweka publicly hasa kwenye genZ war
Establishments hazina hizo jinopembe