Yaani sehem nyingine watu wanakufa 1500+ kwa siku moja. Kisha unasema ni ugonjwa Wa kawaida, wewe utakua na matatizo si bureCorona ni ugonjwa wa kawaida Mkuu, sema Wazungu wame overreact na sisi temepokea hivyo Hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni akili za kimaskini tu.Ugonjwa na kifo, kwa mtu mwenye akili, siyo kitu cha aibu. Mtu yeyote kuwa mzima au mwenye afya njema, hawezi kujisifu kuwa ni kwa sababu ni mwerevu au mwema sana.
Serikali imefanya kosa kubwa sana kupeleka taswira kwa wananchi kuwa ugonjwa huu au kifo kinachotokana na ugonjwa, ni kama aibu ya aina fulani. Sielewi kwa nini kumejengwa mazingira ya namna hii.
Ukiona hivyo ujue ni mwana LumumbaOhoooo....!
Hajazungumzia jinsia na kambi yake?
Yeye aliposimama bungeni na kuomba msajili aifute Cdm alifanya vizuri sana ?!Kama kawaida yao wafuasi wa Chadema ni kuliombea taifa na watu mabaya, kufurahia watu wapatwe na mabaya. Yaani mnafeli sana.
Ataje jina tu Kama makonda alivyomtaja Mbowe na familia yake! Anaogopa Nini ikiwa ni Ada kwao kuvunja Miko ya kitabibu?
Tulupokuwa tunaona aibu kutaja UKIMWI watu walikufa kama KUKU. Leo kila kitu kiko hadharani ukimwi kila mtu anajua kujikinga.Ugonjwa na kifo, kwa mtu mwenye akili, siyo kitu cha aibu. Mtu yeyote kuwa mzima au mwenye afya njema, hawezi kujisifu kuwa ni kwa sababu ni mwerevu au mwema sana.
Serikali imefanya kosa kubwa sana kupeleka taswira kwa wananchi kuwa ugonjwa huu au kifo kinachotokana na ugonjwa, ni kama aibu ya aina fulani. Sielewi kwa nini kumejengwa mazingira ya namna hii.
Hivi unamnyanyasaje (unamnyapaaje) mkonjwa wa Corona virus? KIle unachoita kunyanyasa (kunyapaa) ndicho hasa kinga dhidi ya maambukizi kwa wengine.
Bia yetu usiseme corona ni ugaonjwa wa kawaida. Huoni ugonjwa huu unafanya watu wanaacha ofisi na kwenda mafichoni? corona si ya mchezo mchezo!
Nikiikumbuka hii statement huwa sijui namuwaziaga vipi rais wetu.Haina haja kuogopa. Corona ni kagonjwa kadogo sana. Haina haja kupaniki, tuendelee kuchapa kazi tu. Uchumi wetu ni mzuri na by the way kuna nchi 8 zinategemea nchi yetu kwa bidhaa zao.
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Tunusuru Na Corona Virus Diseases 19 Inatumaliza
Waheshimiwa wakae karantini, thubutu!!!Weka Karantini wote hao haraka sana, hakuna kutoka. Hawa jamaa uwakilishi wao kwa wananchi does not involve Corona..., sijui na kwanini walishindwa kufanya Bunge kwa kutumia telecomference wakiwa majumbani kwao...
Mbona jana walitangazwa wapya 23!!Hivi ummy mwalimu kauchukua ushauri wa mwigulu??
Siku ya tatu leo hamna taarifa mpya za wagonjwa wa corona.
Tunapata taarifa tuu za wagonjwa VIP.
Ndugu Pascal Mayalla wakati ukiendelea kumtafuta slow slow, hakikisha ukikutana nae unampa hints za crisis management