Ni Waziri wa Afya wa Zanzibar ndio alitangaza kwa upande wa visiwani tu
Wanajiweka wenyewe waziKilichonishangaza ni kuona huku Tanzania VIP wanafichwa wakati huko Ulaya, Marekani na Asia wanawekwa wazi kwa Umma.
Wa Upinzani angekuwa ameshatajwaOhoooo....!
Hajazungumzia jinsia na kambi yake?
Mbona umekimbilia "Akifa je".Hakuna haja ya kumficha! Kwani akifa wataficha tena? Papaa Mobimba,
Wanajiweka wenyewe wazi
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa mpaka pale anapoamua kuiweka wazi mwenyewe kwa faida ya wengine.Kwahiyo kwa Tanzania kujiweka wazi kumbe ni Aibu au Dhambi Kubwa Ndugu?
Hii kama ni kweli basi hili janga likipita washitakiwa kwa kuwa careless na kutokujali jamii inayowazunguka..., ni mfano gani watakuwa wanaonyesha wajifungie tu wote waendelekee kutumikia wananchi usiku na machana after all Hapa Kazi Tu...Wabunge Wameruhusiwa kwenda nyumbani badala ya kuwekwa kizuizini hii ni hatari zaidi
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa mpaka pale anapoamua kuiweka wazi mwenyewe kwa faida ya wengine.
Haogopi cheo, fedha, elimu, nk. Kwa kweli katia adabu hata kwa waliojifanya miungu-watu!Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Wapo Wanakunywa chai kwenye mapango ya mawe wanachapa kaziBia yetu usiseme corona ni ugaonjwa wa kawaida. Huoni ugonjwa huu unafanya watu wanaacha ofisi na kwenda mafichoni? corona si ya mchezo mchezo!
All in all,mikusanyiko, ikiwemo ya vikao vya Bunge,ndio huchangia kusambaa kwa maambukizi na hii ndio hoja ya msingi hapa.Umeambiwa huyo mbunge katoka Dar es salaam. Hivyo hapo Ufipa mtawekwa katika Karantini nadhani umenielewa bwashee!