johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #801
Alikuwa anakwama kusema " .....katika nafasi ya Naibu waziri wa madini"Yaa inawezekana, maana niliona clip alienda vizuri tu hadi mwisho, kumalizia ile 'ee Mungu nisaidie' sijui kilitokea nini wakamwambia arudie.
Mambo my dearest..! Link ya kutizama yakiyotokea kwa Ndulane iko wapi nione ..! Sijaiona
Kuamini NDUMBA huanzia pale uwezo wa kufikiri kwa binadamu umefika mwishoNdumba nazo huwa zinahusika mkuu.usimshangae huyo jamaa
Si kila alipo mzazi ni sawa kumfuata... HATA VICHAA HUZAA NA HUZEEKA PIA...!!Utapata laana wewe nguruwe. Wazazi wako wote ni CCM.
Embu enlarge, bold and underline hapo penye "amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10".Dunia duara ukifikiri Sana utalia kila Mara, mheshimiwa Ndulane amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10, amekuwa mkurugenzi wa mji wa Ifakara, amekuwa Kiongozi wa mpira Lindi na Morogoro, amekuwa mjumbe wa TFF katika kamati ya fedha na uongozi na amesafiri na Taifa Stars zaidi ya Mara 4, leo ameshindwa kuapa kurasa moja, hii ndiyo Dunia, tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kumhukumu.
Huyo karogwa tu na mpinzani wake maana alikuwa na machungu jamaa alikwua wa tatu lakini nidye kachaguliwa😎😎😎😎 joking!Hii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.
Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
Kwani binadamu siyo mnyamaOffcourse yeye ni binadamu sio mnyama au reptiliya
Pressure ilimpanda ghafla kwani hakuwahi kumuona rais Magufuli live tena kakasirika. yabidi kusamehewa tu, in due time atapata tu confidence.Hii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.
Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
Aibu iko wapi mkuu,tuambie.Kama hata huwezi kazi ndogo kama kusoma,mengine utayawezaje?Acheni ujinga wa kulaumu kila jambo.UTAWALA wa AIBU
Tatizo lenu mnamchukulia poa jembe huyo. Aliweza kujieleza mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo, aliweza kupiga kampeni mbele ya umati na aliweza kuapa mbele ya bunge. Hamjastuka tu, kuwa jamaa amekataa kijanja sana hiyo kazi,Hii sasa ni kali.
Awali Naibu waziri wa fedha ilibidi arudie kula kiapo zaidi ya mara 5 kwa sababu sehemu iliyoandikwa "Baraza la Mawaziri" yeye alitamka " Baraza la Mapinduzi"
Kali ya mwaka ni huyu Naibu waziri wa madini Francis Ndulane ambaye amekuwa akisoma kiapo huku akitetemeka na hivyo kuwekwa pembeni ili waapishwe wengine.
Wakati wa hotuba yake Rais Magufuli amesema atateua Naibu waziri mwingine wa madini baada ya Francis kufeli kula kiapo.
Sijajua manaibu waziri hawa wana mchecheto gani!
Maendeleo hayana vyama!
Sizitaki mbichi hizi sungura akagumia!Tatizo lenu mnamchukulia poa jembe uyo. Aliweza kujieleza mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo, aliweza kupiga kampeni mbele ya umati na aliweza kuapa mbele ya bunge. Hamjastuka tu, kuwa jamaa amekataa kijanja sana hiyo kazi,
Mchukulieni poa tu, hamjamjua
Swali lako zuri linajibiwa na swali kwako, uliishawasikia mawaziri na manaibu waliotangulia katika awamu zote wakiapa viapo vyenye maudhui tofauti na vile alivyotakiwa kuapa Francis?.Kwani kiapo kile wanakariri?
Unakubali kila kinachozungumziwa kwenye Biblia?Nguvu za giza na uchawi zinazungumzwa kwenye Biblia..... Kajifunze.
Wachawi wa Farao pale Misri......Simon mchawi kule Yudea nk!
Daaa kweli lakini O level nilikuwa vzr Kwenye debate nahisi nyeto ndo factorsHii inaathiriwa na makuzi pamoja na mazingira ni ngumu kuibadilisha kwa haraka.
Hakikisha siku ya presentation usiwaangalie machoni bali waangalie kwenye nywele yaani juu ya vichwa hii itasaidia kidogo