Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Yaa inawezekana, maana niliona clip alienda vizuri tu hadi mwisho, kumalizia ile 'ee Mungu nisaidie' sijui kilitokea nini wakamwambia arudie.
Alikuwa anakwama kusema " .....katika nafasi ya Naibu waziri wa madini"
 
Embu enlarge, bold and underline hapo penye "amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10".

Kumbe ndiyo maana!
 
Huyo karogwa tu na mpinzani wake maana alikuwa na machungu jamaa alikwua wa tatu lakini nidye kachaguliwa😎😎😎😎 joking!
 
Pressure ilimpanda ghafla kwani hakuwahi kumuona rais Magufuli live tena kakasirika. yabidi kusamehewa tu, in due time atapata tu confidence.
 
kipapai...jini lilishika sauti kwa muda!! ongopa sana sayansi ya ulimwengu usioonekana.
 
nimejiskia vibaya nimeumia zaidi eti nafasi yake kapewa mtu mwingine

lile halikua kosa la kumpokonya mtu nafasi yake,hata kama angetakiwa kupokonywa

basi asingepokonywa sasa,wangesubiri hata akianza utendaji kazi uteuzi wake ndio utenguliwe.

kilichofanyika sio jambo la kibinadamu,sio uungwana sio utu kwangu mimi sijaafiki alichofanyiwa (kutenguliwa)

Morning Speech mashuleni tulikua tunajikojolea assemble achilia mbali kuongea,unameza vitu ila ukienda mbele vitu vinapotea.

Presentation chuo ndio kabisa,kwahyo swala la ndugu yangu mimi niseme tu namuachia MUNGU.
 
Tatizo lenu mnamchukulia poa jembe huyo. Aliweza kujieleza mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo, aliweza kupiga kampeni mbele ya umati na aliweza kuapa mbele ya bunge. Hamjastuka tu, kuwa jamaa amekataa kijanja sana hiyo kazi,
Mchukulieni poa tu, hamjamjua
 
Sizitaki mbichi hizi sungura akagumia!
 
Kwani kiapo kile wanakariri?
Swali lako zuri linajibiwa na swali kwako, uliishawasikia mawaziri na manaibu waliotangulia katika awamu zote wakiapa viapo vyenye maudhui tofauti na vile alivyotakiwa kuapa Francis?.
 
Hii inaathiriwa na makuzi pamoja na mazingira ni ngumu kuibadilisha kwa haraka.
Hakikisha siku ya presentation usiwaangalie machoni bali waangalie kwenye nywele yaani juu ya vichwa hii itasaidia kidogo
Daaa kweli lakini O level nilikuwa vzr Kwenye debate nahisi nyeto ndo factors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…