Jambo lilo sahihi ndio lifuatwe.Huyo katibu mkuu hajielewi ukiruhusu hili si kila mtu atamjibu bosi wake anavyotaka??
Acha wivu wewe unadhan hatumjui. Mhe.Rais usidanganyweeeeHuyu Mollel ni mzigo wa misumari kwa Samia
Huwa nakushangaa wewe unayemuona Mollel wa maana. Hebu jipe muda uchunguze akili za Mollel.Taarifa zinasema mkuu wa Idara ya Ujenzi Wizara ya Afya anaendelea na majukumu yake kama kawaida baada ya kubainika kuwa Naibu Waziri hana mamlaka ya kumshusha cheo mtumishi wa wizara
Dkt. Mollel alimvua Madaraka ya ukuu wa Idara ya Ujenzi Injinia Korosso baada ya manishano ya kitaaluma ya hapa na pale
pia soma - Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”
Hana huo uwezo....Kweli Naibu Waziri hana mamlaka ya kumvua cheo mtumishi wa Serikali mpaka taratibu zifuatwe.
Mlivyo poyoyo mtachangia ht uzushi km huu? Katibu Mkuu hawezi kulumbana ua kuonesheana mabavu na Naibu Waziri, Huu ni uzushi na uongo.Taarifa zinasema mkuu wa Idara ya Ujenzi Wizara ya Afya anaendelea na majukumu yake kama kawaida baada ya kubainika kuwa Naibu Waziri hana mamlaka ya kumshusha cheo mtumishi wa wizara
Dkt. Mollel alimvua Madaraka ya ukuu wa Idara ya Ujenzi Injinia Korosso baada ya manishano ya kitaaluma ya hapa na pale
pia soma - Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”
Wateuliwa wengi bado wanajisahau,lakini wanamjua aliyeanzisha udhalilishaji huu hayupo,na aliyepo hataki uonevu,udhalilishaji na kiki.Hiyo tabia ya kusema nimekufukuza kazi kuanzia sasa si mnaijua nani aliianzisha?
Mfano huyu Mollel mambo ya ujenzi amayajulia wapi mpaka amfukuze huyo mhandisi?Wateuliwa wengi bado wanajisahau,lakini wanamjua aliyeanzisha udhalilishaji huu hayupo,na aliyepo hataki uonevu,udhalilishaji na kiki.
Wewe hukusikia au umesahau issue ya Meneja wa TANROADS Mkoa wa Morogoro? Tena ilikuwa kipindi cha Jiwe na agizo la mkubwa zaidi ya Waziri. Mkurugenzi Mkuu TANROADS alikataa kumuondoa.Katibu Mkuu atumbuliwe hafai kuwepo hapo na ameonesha insurbordination ya kiwango kikubwa.
Huwezi kuruhusu mtu wa chini kujibizana na waziri ukaona ni sawa kwa Sababu sio mamlaka ya naibu waziri.
Kichwa chake kinaashiria mengi,Yaani kila nikimtazama Dr Mollel najizua kutamka [emoji849]
CCM ni kokoro kwenye uvuvi, linavua hadi vyura, kengemaji bwasheeSijui Chadema walimtoa wapi?
Tuliliona hili.Taarifa zinasema mkuu wa Idara ya Ujenzi Wizara ya Afya anaendelea na majukumu yake kama kawaida baada ya kubainika kuwa Naibu Waziri hana mamlaka ya kumshusha cheo mtumishi wa wizara
Dkt. Mollel alimvua Madaraka ya ukuu wa Idara ya Ujenzi Injinia Korosso baada ya manishano ya kitaaluma ya hapa na pale
pia soma - Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”
Tatizo ni mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya wote wanataka kufanya kazi za kitendaji badala ya za kusimamia sera za chama chao...Katibu Mkuu wa wizara ndie muajiri ktk wizara husika.
..Yeye pia ndiye mwenye mamlaka ya kuwawajibisha na kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi wa wizara yake.
..Kwa hiyo Waziri hana mamlaka ya kufuta mtumishi kazi, iwe ni mkurugenzi, dereva, mfagizi, etc.
..Kama Waziri anaamini mtumishi wa wizara amekosea, anatakiwa amshtaki kwa KATIBU MKUU ambaye anatakiwa AJIRIDHISHE na tuhuma zilizotolewa kabla ya kuchukua HATUA.
Wapi Katibu mkuu alipolumbana na Naibu Waziri?Mlivyo poyoyo mtachangia ht uzushi km huu? Katibu Mkuu hawezi kulumbana ua kuonesheana mabavu na Naibu Waziri, Huu ni uzushi na uongo.
Siasa ni mbaya sanaHivi hawa mawaziri,l na manaibu wao,wakuu wa mikoa na wilaya hawana job description kwenye nafasi zao?