Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara Paul Koroso, aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”

Ndyo kwenye miradi Kuna ujambazi na wizi Mkubwa Sana kiongozi. Sisi tunataja approach nzuri ya kushughulika na wote wanaohusika kwa wizi wa Mali ya umma na sio matamkwa ya wanasiasa yanayoumiza wananchi wakati akina mollel wanaendelea kutafuna keki ya taifa kila uchwao!.

Leo mafuta ya kula hayashikiki, mafuta ya kuendesha mitambo Bei juu, nafaka bei juu na hakuna mwanasiasa yeyote anaeonesha mikakati madhubuti ya kunusuru wananchi dhidi ya kadhia hii. Kila uchwao ni matamko matamko matamko matamko na matamko ya akina Ummy Mwalimu ambayo yanaumiza Sana wananchi wa kawaida.
 
MOLELI NI KICHAA, ALIFANYA KAZI BABATI SHIDA, SELIANI ARUSHA SHIDA, YAANI HUYU NI CHIZI CHIZI KABISA...MAGUFULI ALIMGUNDUA HUYU NI CHIZICHIZI ANA UBARIDI KICHWANI ILI ATUKANE APAMBANE NA WAPINZANI IKATIKI.....NYIE MFATILIENI MTAJUA KABISA
Huyu si ndio alisema ana ushahidi kuwa Chadema walimpiga risasi Tundu Antipas Lissu? Au mwengine?

Amandla...
 
Waziri atagunduaje wizi katika mradi wa ujenzi kwa kikao cha siku moja? Mtu ambae hata hajui kusoma Contract documents haswa BoQ, michoro na Specifications?
Unakuta msimamizi analalamikiwa kuwa kitasa kinapatikana kwa mpemba kwa shilingi 40,000 lakini yeye anamlipa mkandarasi shilingi 100,000. bila kuangalia aina ya kitasa na kujua tofauti kati ya rate iliyomo kwenye BoQ na bei ya dukani!

Amandla...
 
Alafu sahv ni wakati wa mavuno
Na vyakula bei juu
Je ikifika Nov itakuwaje

Ova
 
Heshima inapaswa kuwa kwa pande zote. Unaweza kukuta Waziri alitoa vitisho vya kufukuza mtu kazi ndio maana Mhandisi akajibu alivyojibu.

Amandla...
 
hamnamo mtu humo, ni vile tu hii nchi kila mtu anaweza kua mtu yeyote, usije shangaa hata wewe mleta uzi jina lako linapitishwa kua inatakiwa uwe Rais wa nchi na kijiti unakabidhiwa,
u can't make even a 5 minutes convo n serious matter with him, sasa huyo ni mtu

Bora ata yule mlevi wa Tarime anakuaga na data na upstairs yuko vyema
 
Madaraka ya kumuweka raia mahabusu bils amri ya mahakama anayayos wspi naibu waziri?
 
Utakuwa mjinga wa karne,MTU aache taaluma atumikie siasa? Na wewe unajiita msomi....fwakini kabhisa!
Watu kama nyie ningekuwa nawasweka ndani mka nyee debe...

Huu upumbavu wenu hapa chini Ndio taaluma sio?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220706-202936.png
    109.4 KB · Views: 8
Injinia kaonyesha yeye siyo njaanjaa,kasema yuko tayari hata kufukuzwa.Huo ndiyo utaalamu wenyewe,Mollel kajikosha tu.
Kwani nani ana shida ya shibe yake? Hao mnaowatetea wanawapiga pesa zenu afu mnakenua tuu kama mandezi wapumbavu nyie..

Kwamba hiki hapa chini Ndio utalaamu sio? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220706-202936.png
    109.4 KB · Views: 8
Kuna namna ya kuwajibishana kistaarabu kwa watu wenye nyadhifa za juu ila sio kwa huo upuuzi alioufanya huyo naibu waziri wa kuaibishana na kudhalilishana. Mbona raisi hana swaga za kishamba kama huyo naibu waziri. Naibu waziri nae atumbuliwe mana bado ana element za sifa za kijinga za awamu iliyopita.
 
Sijaona kosa la Koroso , Waziri alitakiwa aseme wazi kwamba kosa la Koroso ni lipi na uchunguzi ufanyike kubaini kama alifanya makosa sasa mtu anakujibu kwamba hawezi kubadilisha kauli maana ana uhakika na anachokiongea hata kama kitagharimu kazi yake unasema kakujibu vibaya

Ubabe hauna tija Waziri
 
Chukulia mfano wa cement, cement mfuko Bei yake unajulikana mfano 42.5 ni 20000, alafu umenunuliwa kwa 30000. Hapo inahitaji uwe mtaalamu kujua kuwa Kuna wizi?

Aweso alienda kukagua bwawa lililojengwa kwa mil 200, hivi ilihitaji awe na uwezo wa kusoma BOQ kujua kuwa Kuna wizi umefanyika pale?

Tatizo kubwa tulilonalo waafrica wengi ni hili la kuona suala la kupiga ni kawaida. Ndio maana Hadi leo tupo hivi.
 
Watu kama nyie ningekuwa nawasweka ndani mka nyee debe...

Huu upumbavu wenu hapa chini Ndio taaluma sio?[emoji116]
Kuna watu humu Wana matatizo ya akili. Mm napingana na serikali kwenye vitu vingi, lakini unawezaje kupinga Jambo Kama hili? Toilet paper holder kwa laki 5?? Alafu huyo mhandisi bado anajibu jeuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…