Naingia Shambani very serious kulima Alizeti


Kiongozi umeongea ukweli mtupu kabisa. Hapa JF ukiwackiliza hao w mwisho w mwezi utaogopa kuanza kitu chako.
Kama ukileta dili una ambiwa mwizi mpigaji na ndio maana una kula kimya kimya tu.
Na mwisho umemaliza vzr mno mdau wangu.
Na huyu mtu kama ulivyo sema aingie mwenyewe kazini hakuna kuckiliza hao watu wanao tisha watu.
All the best
 
sikukatish tamaa ila Maisha hayajawah kuwa Rahis kias hicho...ni vyema uende ukalime kidogo kidogo huku ukiwa unapata uzoefu hata mtu aliesomea kilimo hawez kwenda ku invest kwa eka 50 kwa kuanzia tu
 
sikukatish tamaa ila Maisha hayajawah kuwa Rahis kias hicho...ni vyema uende ukalime kidogo kidogo huku ukiwa unapata uzoefu hata mtu aliesomea kilimo hawez kwenda ku invest kwa eka 50 kwa kuanzia tu
Haya ndio mambo yanayotufanya wabongo tubaki maskini wa kutupa. Ushauri wa hovyo kabisa huu. Badala ya kumpa mikakati ya jinsi ya kupambana na changamoto,watu wanamtisha na kumtaka akimbie chagamoto.
Mwaka huu wakati napanga kuingiza mi70,nikashirikisha jamaa hapa ofisini akaanza kunitolea mifano ya watu walioshindwa. Nikamuiliza anitajie biashara moja iliyonyooka bila tone la challenge. Akabaki kujiuma uma tu. Nikamshauri angejikita kunishauri namna ya kupambana na challenge sio kunikatisha tamaa.

Kifupi Mayu ushauri mzuri utapewa na wakulima serious na wataalam wa kilimo. Sio waswahili na watu wa mitandaoni. watu wazuri hata humu wapo,mimi walinishauri nikafanyia kazi leo hii sikosi laki 8+ na zaidi kwa siku
 
Mayuuuu uweee nzua wakukembetee
 
Mkuu, Alizeti Gunia la Debe Saba Makadirio mazuri ni Lita 20 tu sawa na Dumu moja. maana hapo nimeona unasema itakupa Dum mbili sawa na lita 40 ambacho hicho kitu hakina uhalisia sana kwa sababu nimelima sana Alizeti,Huko jirani na Singida maeneo ya Kondoa pale
 
nami nishauri kitu mkuu walau nianze dunduliza taratibu nithubutu ndugu... Nitashkuru 🙏
 
Be very careful my friend huu usimu mwaka huu mpaka mwakani bado haujasomeka kabisa, mvua zinaweza kuwa chache sanaa ukakuchukia kilimo.
 
Kwahiyo bei ya hysun 33 ni sh ngap?..mbona kila mtu na bei yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…