Nairobi: Tundu Lissu akutana na Madaktari waliopigania Uhai wake

Nairobi: Tundu Lissu akutana na Madaktari waliopigania Uhai wake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote).

Hata hivyo wako wale waliosimama kidete kuhakikisha tiba ya mtu huyu anakuwa hai, hawa walikataa kuhongwa Pesa nyingi kutoka kwa watu wale wale akina naniliu.

Sasa Lissu baada ya kuyajua yote haya amefika Nairobi kuwashukuru Madaktari hao walioishi kwenye kiapo chao.

Screenshot_2023-11-13-10-27-44-1.png
 
ndio kiki aliyobakisha kushambuliwa na risasi yaani mjinga sana wewe
Kama aliyeandika haya atakuwa mjinga, basi wewe utakuwa mwendawazimu au punguani.

Uovu hausahauliki, ni lazima usemwe daima, ulaaniwe daima ili kujikumbusha umuhimu wa kuwa na mifumo onayozuia kabisa vichaa kushikilia mamlaka za utawala.

Mungu Baba wa mbinguni, tunakuomba, kwa mkono wako wenye nguvu, walaaniwe wale mashetani na wana wao, na wana wa wana wao, wale mashetani wote waliokuwa wamejiapiza kumwua Tundu Lisu, lakini ngao yako yenye nguvu iliwaonesha ukuu wako..

Daud Bashite alaaniwale yeye na jama zake na uzao wake wote, Duniani na mbinguni.
 
Ni dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote).

Hata hivyo wako wale waliosimama kidete kuhakikisha tiba ya mtu huyu anakuwa hai, hawa walikataa kuhongwa Pesa nyingi kutoka kwa watu wale wale akina naniliu.

Sasa Lissu baada ya kuyajua yote haya amefika Nairobi kuwashukuru Madaktari hao walioishi kwenye kiapo chao.

Ni jambo jema....
 
Kama aliyeandika haya atakuwa mjinga, basi wewe utakuwa mwendawazimu au punguani.

Uovu hausahauliki, ni lazima usemwe daima, ulaaniwe daima ili kujikumbusha umuhimu wa kuwa na mifumo onayozuia kabisa vichaa kushikilia mamlaka za utawala.

Mungu Baba wa mbinguni, tunakuomba, kwa mkono wako wenye nguvu, walaaniwe wale mashetani na wana wao, na wana wa wana wao, wale mashetani wote waliokuwa wamejiapiza kumwua Tundu Lisu, lakini ngao yako yenye nguvu iliwaonesha ukuu wako..

Daud Bashite alaaniwale yeye na jama zake na uzao wake wote, Duniani na mbinguni.
Hii haitasaidia makonda siyo w mchezo mchezo, chadema bila kupata mwenyekiti mwingine ni hamna kitu, Wana laana ya kumpinga JPM
 
Ni dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote).

Hata hivyo wako wale waliosimama kidete kuhakikisha tiba ya mtu huyu anakuwa hai, hawa walikataa kuhongwa Pesa nyingi kutoka kwa watu wale wale akina naniliu.

Sasa Lissu baada ya kuyajua yote haya amefika Nairobi kuwashukuru Madaktari hao walioishi kwenye kiapo chao.

Pia apite na pale Dodoma General awashukuru, ni jambo njema sana amefanya
 
Kama aliyeandika haya atakuwa mjinga, basi wewe utakuwa mwendawazimu au punguani.

Uovu hausahauliki, ni lazima usemwe daima, ulaaniwe daima ili kujikumbusha umuhimu wa kuwa na mifumo onayozuia kabisa vichaa kushikilia mamlaka za utawala.

Mungu Baba wa mbinguni, tunakuomba, kwa mkono wako wenye nguvu, walaaniwe wale mashetani na wana wao, na wana wa wana wao, wale mashetani wote waliokuwa wamejiapiza kumwua Tundu Lisu, lakini ngao yako yenye nguvu iliwaonesha ukuu wako..

Daud Bashite alaaniwale yeye na jama zake na uzao wake wote, Duniani na mbinguni.
nyie chadema ni kundi la vijana wajinga wasiojitambua mauaji na maharamia ni nyie mliunda vikundi vingi Sana enzi za kikwete vya kuua na kuteka watu Mbowe alimuua Chacha wangwe akamuua Ben Saanane hafu akapanga shambulio la huyo nguruwe wenu acheni ujima nyie maharamia
 
Ni dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote).

Hata hivyo wako wale waliosimama kidete kuhakikisha tiba ya mtu huyu anakuwa hai, hawa walikataa kuhongwa Pesa nyingi kutoka kwa watu wale wale akina naniliu.

Sasa Lissu baada ya kuyajua yote haya amefika Nairobi kuwashukuru Madaktari hao walioishi kwenye kiapo chao.

Wa kulia suta ni ya Magufuli kabisa
 
Kama aliyeandika haya atakuwa mjinga, basi wewe utakuwa mwendawazimu au punguani.

Uovu hausahauliki, ni lazima usemwe daima, ulaaniwe daima ili kujikumbusha umuhimu wa kuwa na mifumo onayozuia kabisa vichaa kushikilia mamlaka za utawala.

Mungu Baba wa mbinguni, tunakuomba, kwa mkono wako wenye nguvu, walaaniwe wale mashetani na wana wao, na wana wa wana wao, wale mashetani wote waliokuwa wamejiapiza kumwua Tundu Lisu, lakini ngao yako yenye nguvu iliwaonesha ukuu wako..

Daud Bashite alaaniwale yeye na jama zake na uzao wake wote, Duniani na mbinguni.
Dua la kuku halimpati mwewe mmemwombea mengi mabaya jamaa anachanja Mbuga mtakufa na presha wajinga nyie nyumbu na misukule ya Mbowe
 
Back
Top Bottom