Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kupigania uhai wake ni kiki 🤐ndio kiki aliyobakisha kushambuliwa na risasi yaani mjinga sana wewe
Shetani lazima apingwe na Kila binadamu anayejitambua.Hii haitasaidia makonda siyo w mchezo mchezo, chadema bila kupata mwenyekiti mwingine ni hamna kitu, Wana laana ya kumpinga JPM
wewe ni kama yale majinga menzako mjipige risassi wenyewe halafu mpambanie ujinga ujinga wenyeweKwahiyo kupigania uhai wake ni kiki 🤐
wewe ni nani msukule wa Mbowe mmezidiwa hoja mnatangatanga saa hiz b nyumbu nyieBashite siku zake zinahesabika
shetani Ni mbowe aliyemuua Chacha wangwe na akamutowesha Ben SaananeShetani lazima apingwe na Kila binadamu anayejitambua.
Wewe nae eti ni mama wa family dah Mungu okoa hiki kizaziwewe ni nani msukule wa Mbowe mmezidiwa hoja mnatangatanga saa hiz b nyumbu nyie
majinga ya Chadema yametqpeliwa na limwenyekiti limechangisha hela za ruzuku na kwenda kujenga Machame mambumbumbu nyie zero brainWewe nae eti ni mama wa family dah Mungu okoa hiki kizazi
lijinga mnoo hiliJamaa linadeka sana, sera yake ya kuingia ikulu ni kushambuliwa
halina akili limelogwaIla Lissu alichonifurahisha ni kutumia uchaguzi wa 2020 kutaka kuonewa huruma kisa alipigwa risasi bac achaguliwe kuwa rais 😂 baada ya kula za uso akaamua kurudi Ubelgiji, this time cjui atakuja kutia huruma kwa style gani
Na wewe muuaji?ndio kiki aliyobakisha kushambuliwa na risasi yaani mjinga sana wewe
Ameen..Mungu awape thawabu madaktari wote...
Mimi sio Chadema ila sipendi wauaji na wanuka midamu kama Jiwewewe ni kama yale majinga menzako mjipige risassi wenyewe halafu mpambanie ujinga ujinga wenyewe
BASHITE ana MAKALIO makubwa hatari,hivi kuna boxer inamtosha kweli??[emoji28][emoji28]Ndio kiki aliyobakisha kushambuliwa na risasi yaani mjinga sana wewe.
Sababu ana roho ya kikatiliMakonda anaogopwa Sana
Makonda akiona hii picha anaemia sanaNi dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote).
Hata hivyo wako wale waliosimama kidete kuhakikisha tiba ya mtu huyu anakuwa hai, hawa walikataa kuhongwa Pesa nyingi kutoka kwa watu wale wale akina naniliu.
Sasa Lissu baada ya kuyajua yote haya amefika Nairobi kuwashukuru Madaktari hao walioishi kwenye kiapo chao.