Mbwabwajaji hana ubavu wa kukabiliana na Makonda huyo.hahaaaa Lisu kaaahirisha ziara ya Ulaya ghafla Kuja kupambana na Makonda upepo umebadilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwabwajaji hana ubavu wa kukabiliana na Makonda huyo.hahaaaa Lisu kaaahirisha ziara ya Ulaya ghafla Kuja kupambana na Makonda upepo umebadilika
Unakatwa na chukua chako mapemaMakonda anaogopwa Sana
Uhalifu wa Bashite ni kumbukumbu ya risasi iliyotoboa kwenye paa nyumbani kwa baba yake mlezi, akina nyerere feki waliumbuka walipooneshwa.Alinusurika kutoka mikononi mwa wauaji wawili maarufu (ngoshas)
yule masikini ombaomba wa Ubeligiji auliwe kwa lipiJPM na Makonda ndio walitaka kumuua Lissu
[emoji3][emoji3]Maandalizi ya kuja kupambana na bashite kumkumbusha lile shambulizi.
Lissu akianza kupanda majukwaani bashite atashuka jukwaani kwa kuruka chini.
Ujumbe umefikaPia apite na pale Dodoma General awashukuru, ni jambo njema sana amefanya
leo nathibitisha kwamba huna akiliwewe ni kama yale majinga menzako mjipige risassi wenyewe halafu mpambanie ujinga ujinga wenyewe
Umefika hata darasa la sita wewe?Hata aongeeje hamna kipya kwenye hilo suala
Nimeishia memkwa!Umefika hata darasa la sita wewe?
Mbona uandishi wako ni mbovu sana!
Bashite hawezi kupambana na Lisu.....Maandalizi ya kuja kupambana na bashite kumkumbusha lile shambulizi.
Lissu akianza kupanda majukwaani bashite atashuka jukwaani kwa kuruka chini.
OkeyUjumbe umefika
Wewe unaueogopa hata kuchomwa sindano ya Christa pen unajiona shujaa nyuma ya key board kumkejeli aliyepigwa risasi 16 na kupona? Wajinga hawataisha CCM.Ndio kiki aliyobakisha kushambuliwa na risasi yaani mjinga sana wewe.
Hichi ulichokiandika inatosha kuonyesha wewe ni mgonjwa wa akili.wahi mirembe mapema kabla hicho kihoro akijakuua kibudu.nyie chadema ni kundi la vijana wajinga wasiojitambua mauaji na maharamia ni nyie mliunda vikundi vingi Sana enzi za kikwete vya kuua na kuteka watu Mbowe alimuua Chacha wangwe akamuua Ben Saanane hafu akapanga shambulio la huyo nguruwe wenu acheni ujima nyie maharamia
Ilo jinga halijielewi.Lenyewe kwasababu ya akili chache linafikiri linamtukana mbowe.Hapo linajiona limeandika cha maana kumbe upuuzi mtupu uku likidhalilisha serikali ya chama chake na vyombo vyake vya ulinzi na usalama.Na serikali ya ccm na policcm wanalijua hilo,kwamba Mbowe ameunda vikundi vya kuteka na kuua? Kwamba wakati anafanya hayo serikali ilikuwepo inamwangalia tu! Hivi unajua kwa maelezo yako hayo unaitukana serikali?
Nadhani amdhukuru zaidi MBOWENi dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote).
Hata hivyo wako wale waliosimama kidete kuhakikisha tiba ya mtu huyu anakuwa hai, hawa walikataa kuhongwa Pesa nyingi kutoka kwa watu wale wale akina naniliu.
Sasa Lissu baada ya kuyajua yote haya amefika Nairobi kuwashukuru Madaktari hao walioishi kwenye kiapo chao.
hicho kibanda unaita nyumbaPicha hii aione Jiwe akiwa kuzimu.