Nairobi: Tundu Lissu akutana na Madaktari waliopigania Uhai wake

Mambo ya hovyo sana,mtuanajichimbia huko akitoka anawaambia watu nilipigwa Rossi, utafkikama watu hawajui vile.
 
Jamaa linadeka sana, sera yake ya kuingia ikulu ni kushambuliwa
 
Ila Lissu alichonifurahisha ni kutumia uchaguzi wa 2020 kutaka kuonewa huruma kisa alipigwa risasi bac achaguliwe kuwa rais 😂 baada ya kula za uso akaamua kurudi Ubelgiji, this time cjui atakuja kutia huruma kwa style gani
 
Ila Lissu alichonifurahisha ni kutumia uchaguzi wa 2020 kutaka kuonewa huruma kisa alipigwa risasi bac achaguliwe kuwa rais 😂 baada ya kula za uso akaamua kurudi Ubelgiji, this time cjui atakuja kutia huruma kwa style gani
halina akili limelogwa
 
Makonda akiona hii picha anaemia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…