Nairobi: Tundu Lissu akutana na Madaktari waliopigania Uhai wake

Hichi ulichokiandika inatosha kuonyesha wewe ni mgonjwa wa akili.wahi mirembe mapema kabla hicho kihoro akijakuua kibudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na serikali ya ccm na policcm wanalijua hilo,kwamba Mbowe ameunda vikundi vya kuteka na kuua? Kwamba wakati anafanya hayo serikali ilikuwepo inamwangalia tu! Hivi unajua kwa maelezo yako hayo unaitukana serikali?
Ilo jinga halijielewi.Lenyewe kwasababu ya akili chache linafikiri linamtukana mbowe.Hapo linajiona limeandika cha maana kumbe upuuzi mtupu uku likidhalilisha serikali ya chama chake na vyombo vyake vya ulinzi na usalama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani amdhukuru zaidi MBOWE
 
Kila alieshiriki uovu ule dhidi ya Lissu atalipia ni suala la muda tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…