Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna App inaitwa BadooNaomba kuuliza,mana kuuliza siyo ujinga.
Hizi dating apps ambazo watu utoa ushuhuda kuwa wana/walikutana huko ni special au ni hizi hizi social media kama Facebook, Instagram na Jf?
Kuna App inaitwa BadooNaomba kuuliza,mana kuuliza siyo ujinga.
Hizi dating apps ambazo watu utoa ushuhuda kuwa wana/walikutana huko ni special au ni hizi hizi social media kama Facebook, Instagram na Jf?
Hiyo si ndiyo nasikia Ina Malaya kibao wanajiuza huko?Kuna App inaitwa Badoo
Poor Brain dronedrake mko wapi Intelligent businessmanIla walimwengu mna ujasiri hasa. Sasa mtu humjui undani wake unamuweka ndani kwako. Ghafla akikata moto utapeleka wapi maiti. Ukute hata jina lake halisi hulijui.
Watu wanatembea na magonjwa yao, mara ukute ni kichaa usiku mmoja anaanza kukucharaza mboko ndani humo.
Siku zote mwanamke unaekutana nae juu kwa juu hata siku moja usimpeleke nyumbani kwako. Mbona lodge zipo nyingi.
Hii kauli narudia kila siku, mtaani kugumu. Watu wapo tayari kukaa hata na zimwi ilimradi tu awe na hifadhi ya uhakika.
Sasa ukute hizo nguo ulizomkuta nazo ndio pekee anazomiliki, halafu ghafla unampeleka shopping, ndugu yangu hata wewe ungekuwa huyo demu ungetaka kuondoka tena?
Huyo ni mkeo tayari, mwambie akuonyeshe kwao tu maisha yaendelee.
Hapo ndipo atajiletea shida, ataamua kumkomoa, ila watu majasiri, kutoka dating app ghafla penzi, ghafla shopping, ghafla anakupikia bila kuweka sumu ya panya, ghafla unalala usingizi na unakoroma huogopi kaona sebule yako katamani vitu akuchinjie usingizi, aisee hii haina utofauti na wale wanaojitoaga muhanga.Mwambie umepata rafiki mwingine kwenye app
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.
Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.
Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo ๐๐ (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.
Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.
Ahsanteni Sana
Umenipotezea muda wanguHabari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.
Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.
Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo ๐๐ (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.
Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.
Ahsanteni Sana
Yeye Bado unampenda au umemchoka. Halafu mpo mkoa gani ili tulipe maelekezoHabari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.
Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.
Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo ๐๐ (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.
Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.
Ahsanteni Sana
Kama umeshamkula tayari umeshaunganishwa naye, hapo ni hadi kifo kiwatenganishe.Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kuna kitu kinaitwa TINDER etc... Htr sanaNaomba kuuliza,mana kuuliza siyo ujinga.
Hizi dating apps ambazo watu utoa ushuhuda kuwa wana/walikutana huko ni special au ni hizi hizi social media kama Facebook, Instagram na Jf?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama umemchoka tuachie sisi, nasemaje?
Tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi, asuumaaniiiii