Naishi na Mwanamke Nisiemfahamu, Nahitaji Namna Nzuri ya Kumuacha

Naishi na Mwanamke Nisiemfahamu, Nahitaji Namna Nzuri ya Kumuacha

Shoping ya nguo ulitumia sh ngapi?

Kwani kumuukiza kwao na ndugu zake walipo inakushinda nini?... Mwambie ajiandae mwende kwao upaone, kitu kidogo hiki unajaza seva ndoa utaimudu kweli hata mwaka mmoja
Hivi seva ya mtandao Huwa inajaa?
 
Ndoa sio kwa kuoneana huruma tu, hapo kinachomsumbua chalii ni demu kujirahisisha sana..... hapo ndipo thamani ya mwanamke imeishia.
Ale chuma hicho hakunaga formula ya kueleweka namna ya kuanza maisha ya ndoa
 
Ila walimwengu mna ujasiri hasa. Sasa mtu humjui undani wake unamuweka ndani kwako. Ghafla akikata moto utapeleka wapi maiti. Ukute hata jina lake halisi hulijui.
Watu wanatembea na magonjwa yao, mara ukute ni kichaa usiku mmoja anaanza kukucharaza mboko ndani humo.

Siku zote mwanamke unaekutana nae juu kwa juu hata siku moja usimpeleke nyumbani kwako. Mbona lodge zipo nyingi.

Hii kauli narudia kila siku, mtaani kugumu. Watu wapo tayari kukaa hata na zimwi ilimradi tu awe na hifadhi ya uhakika.

Sasa ukute hizo nguo ulizomkuta nazo ndio pekee anazomiliki, halafu ghafla unampeleka shopping, ndugu yangu hata wewe ungekuwa huyo demu ungetaka kuondoka tena?

Huyo ni mkeo tayari, mwambie akuonyeshe kwao tu maisha yaendelee.
Ni Kweli Mkuu, Imetokea tu, B
Ila walimwengu mna ujasiri hasa. Sasa mtu humjui undani wake unamuweka ndani kwako. Ghafla akikata moto utapeleka wapi maiti. Ukute hata jina lake halisi hulijui.
Watu wanatembea na magonjwa yao, mara ukute ni kichaa usiku mmoja anaanza kukucharaza mboko ndani humo.

Siku zote mwanamke unaekutana nae juu kwa juu hata siku moja usimpeleke nyumbani kwako. Mbona lodge zipo nyingi.

Hii kauli narudia kila siku, mtaani kugumu. Watu wapo tayari kukaa hata na zimwi ilimradi tu awe na hifadhi ya uhakika.

Sasa ukute hizo nguo ulizomkuta nazo ndio pekee anazomiliki, halafu ghafla unampeleka shopping, ndugu yangu hata wewe ungekuwa huyo demu ungetaka kuondoka tena?

Huyo ni mkeo tayari, mwambie akuonyeshe kwao tu maisha yaendelee.
Ni Kweli Mkuu, Nimekuelewa na Sio kwamba ni Kawaida Yangu Kufanya hayo ya kuchukua Wanawake na kuwaleta Kwangu, ni Imetokea tu.
 
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.

Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.

Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.

Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.

Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.

Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.

Ahsanteni Sana
Mwambie shemeji yako wa TRC atakupitia muende safari ya majaribio ya treni ya SGR na waziri mkuu na viongozi wa dini. Nitakuja kumchukua nitamwambia treni inaanzia Dom kuja Dar hivyo tusafiri kwa basi mpaka Dom, mengine juu yangu.
 
Hapo ndipo atajiletea shida, ataamua kumkomoa, ila watu majasiri, kutoka dating app ghafla penzi, ghafla shopping, ghafla anakupikia bila kuweka sumu ya panya, ghafla unalala usingizi na unakoroma huogopi kaona sebule yako katamani vitu akuchinjie usingizi, aisee hii haina utofauti na wale wanaojitoaga muhanga.
Chakula Mwanzo tulikua tunakula Out, Ila Akaniambia Mbona tunaspend Sana kula nje na ninaweza Kukupikia Nyumbani kwa gharama za Kawaida? Na Ukiangalia ni Kweli akipika anatumia Gharama ndogo
 
Kama anauwezo wa kuwa kwenye dating app, nna walakini anaweza kuja hapa kushiriki kutoa ushauri nini afanyiwe..
 
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.

Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.

Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.

Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.

Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.

Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.

Ahsanteni Sana
hiyo ya kukaa naye ndo namna nzuri ya kumjua au nakosea wakuu 😆 😆
komaa naye tu mkuu ili umjue vizuri
 
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.

Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.

Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.

Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.

Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.

Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.

Ahsanteni Sana
hiyo ya kukaa naye ndo namna nzuri ya kumjua au nakosea wakuu 😆 😆
komaa naye tu mkuu ili umjue vizuri
 
Mpaka nguo umenunua kupika anakupikia na hana makuu mpole mstaarabu Sasa ubasubiri Nini?

Kipengele kitakachokusumbua maisha Yako n Dating app
Huyu jamaa naona kazoea kuchovya chovya ndo maan anaona huyo mdada kamzibia fursa nyingine. Au labda jamaa alikuwa hajawa na wazo la kuona. Mi sioni shida kukaa naye km hana shida.
 
halafu unaweza kuta mimi ndie mchepuko wa Bi. Mkubwa wako ninaekukeni mjini halafu unaniita kivulana.
Unafikiri kama mama zako huko kwenu ni wasimbe makurumbembe malayer malayer flani hivi ukajua wote tuna life styles za hivo poleee
 
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.

Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.

Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.

Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.

Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.

Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.

Ahsanteni Sana
Muulize kwenu wapi ...... unafanya kazi gani uliwahi fanya kazi gani...... pia kama una hela mpangie nje ya mji chumba cha 35000 huko miezi kadhaa kama kumsaidia tu

Mimi iliwahi nitokea situation kama yako alikuwa na age 18 so alifukuzwa anakokaa akaja kwangu akalala kesho yako alitemfukuz kasema baki nae mi pia hakua ndugu yangu sitak arudi alikuwa mwanamke mwenzake

Basi na mimi nikaona siwez kaa na mtu simjui binti alikuwa mburu akaniambia kwao hajaenda miaka minne alikuja huku akiwa na 15 kama bek tatu akafukuzwa akaingia mitaani tu kuzurura so rafik yake nae alivyoona kaja kwangu ikawa chance ya kumfukuza

Sababu ya umri wake 18 niliingia bAnk nikatoa laki mbili nikaenda kumtupa mpiji magoe kule nikampangie gheto la 35000 miezi mitano nikampa godoro feni na mtungi wa gesi na vyombo kadhaa nikasepa

Aliendelea na maisha yake Kwa furaha sasa hivi yuko age 20 sijui siku alinipigia kuwa huwa anafanya kazi za mama ntilie ila ni mzuri sana ni mburu so mimi nilimsaidia kidogo sababu ya huruma tu na umri wake
 
Back
Top Bottom