Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Uko sawa sijajua kama diamond alikua anaandikiwa mashairi(ghost writer) au alikia anaandika mwenyewe mana ukisikiliza nyimbo kamwambia,mbagala na nyingine kali zs mwanzo zilikua zimeshiba mashairi lakn sasa hivi anatunga mashairi mepes sana na yakuunga unga sana... msikilize ali kiba mashairi yake yalivyotulia na yameshiba kila akitoa nyimbo hamna mtu asiyemkubali anachora sana kitu bacho wasanik weng hawana
Duu Diamond alikuwa anandikiwa mashairi how?

Uzuri mwisho wa siku kwenye Number atawakimbiza hao wote unao wataja. Ok FOA mpaka jana saa mbili usiku less than 24hrs tokea itoke ina total streams 7m kwenye digital platforms zote.
 
Usinipe kitandan leo nipe kwa sofa (sona)
Unipe chungwa nikupe tango, usiku tukiyafanya mambo (wonder)
Asubuh moko moko cha moto moto (loyal)
View attachment 2147533
work of art. kila msanii ana ubinafsi wake unaomtofautisha na mwingine. ndio maana unaweza kuta ngoma kaimba msanii fulani, ila ukajiuliza huu utunzi mbona kama wa msanii fulani. hata kwenye mpira hiyo ipo, ukiona tu receiving na dribbling unajua huyu ni mchezaji fulani.
 
EP ni nzuri kiasi chake japo katika nyimbo ya Nawaza hajamtendea haki yule binti Elizabeth.
 
Hadi sasa ninareplay wonder,loyal na melody..hizo 7 zilizobaki nitazisikiliza siku nyingine..dah hizo tatu ndio nilianza nazo sababu ya majina yak..kumbe ni za moto balaaaa..Simba is on his own level![emoji91][emoji91]sauti,melody,mashairi,beat, vikolombwezo dahh jamaa ni noma
 
Duu Diamond alikuwa anandikiwa mashairi how?

Uzuri mwisho wa siku kwenye Number atawakimbiza hao wote unao wataja. Ok FOA mpaka jana saa mbili usiku less than 24hrs tokea itoke ina total streams 7m kwenye digital platforms zote.
Namba unaweza kuzipata hata kwa Promo. Ni suala la mfuko wako tu.
 
Nyimbo sio mbaya ila zina sound kama Nigerian hivi ukiondoa nyimbo kama 2 lakini sound zinafanana na zimechukuwa Nigerian test hivi hata English akitumia anaweka ya Nigerian. Kiujumla sio mbaya mtihani je zinaweza kudumu kwa muda gani maana hiyo ndio changamoto za miziki yetu je inaishi na hili kwa wasanii wote tu. Kazi sio mbaya
 
Namba unaweza kuzipata hata kwa Promo. Ni suala la mfuko wako tu.
Toa nyimbo yake then kapige promo tuone kama utafikia hata number za MC Balaa?

Diamond Promo anajipa mwenyewe na media yake ya Wasafi. Mbona hao wengine wanapewa promo na redio zote kubwa ambazo haziupi airtime mziki wa Diamonds lkn stills pamoja na kubebwa ila bado hawajafikia namba za Chibu.

Au ndio mahaba nakupa homework kamtafuta msanii ambaye single yake ilipewa airtime kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa tano usiku na radio kubwa ya watu na nyimbo yenyewe ilikuwa sebene ila hamkuliona.

Kuna wasanii walipo zindua album media zile kubwa yaani TV na radio wame zizungumizia album zao mwezi mzima wanazipa promo, hamjaliona, sasa msanii ambaye airtime anapata radio moja unasema mfukoo wako, vipi hao wengine.
 
Uko sawa sijajua kama diamond alikua anaandikiwa mashairi(ghost writer) au alikia anaandika mwenyewe mana ukisikiliza nyimbo kamwambia,mbagala na nyingine kali zs mwanzo zilikua zimeshiba mashairi lakn sasa hivi anatunga mashairi mepes sana na yakuunga unga sana... msikilize ali kiba mashairi yake yalivyotulia na yameshiba kila akitoa nyimbo hamna mtu asiyemkubali anachora sana kitu bacho wasanik weng hawana
Diamond akiendelea kuimba hivi kama kwenye FOA, basi atafanya makubwa sana. Kuhusu kuandikiwa mashairi siyo jambo baya, maana hata wasanii wakubwa duniani huwa wanaandikiwa. What we want is the melody and a taste of his soul. Ile ngoma kali kama STILL DRE ni ya moto mpaka leo, lakini DRE na Snoop waliandikiwa na Jay-Z.

Kitu ambacho Diamond kimemgharimu achelewe kufika ni kuchelewa kubadilika kama wenzake Wiz-Kid, Davido na Burna. Nimewasikiliza hawa tangu zamani na nyimbo zao zilikuwa zimechangamka lakini hazina kiwango kama sasa. Wiz-Kid alikuwa anapiga nyimbo za kuruka (Siyo jambo baya), lakini baadae akaanza kubadilika na kuweka a little bit of RnB, Soul, Blues and Highlife.

Davido naye alivyojiunga na SONY alitaka kuiga muziki wa Marekani akastuka na kugeuka mapema. Burna naye alivyorudi akaanza kupiga Blues, Soul and Highlife akatoboa. Muziki wa West-Africa kama, Highlife unafanya vizuri kwasababu una mahadhi ya muziki asilia wa Afrika uliochanganywa na mahadhi ya miziki kama Jazz, Soul na Blues kutoka Marekani. Siku hizi wanaijeria wanuiita muziki wao Afro-Fusion.

Kuna baadhi ya nyimbo kwenye FOA nimesikia vionjo vya Highlife hadi nikabaki nashangaa. Hii aina ya muziki ni ngumu sana kwa wasanii wengi kuifanya, aidha utakosea au kupatia sana. Kijana wetu kanifurahisha sana akiendelea hivi, basi miaka miwili tu atafanya makubwa mno. Ajikite tu kufanya collabo na wasanii wanaoimba highlife kama Adekunle, Burna, Timi Dakolo,
 
Toa nyimbo yake then kapige promo tuone kama utafikia hata number za MC Balaa?

Diamond Promo anajipa mwenyewe na media yake ya Wasafi. Mbona hao wengine wanapewa promo na redio zote kubwa ambazo haziupi airtime mziki wa Diamonds lkn stills pamoja na kubebwa ila bado hawajafikia namba za Chibu.

Au ndio mahaba nakupa homework kamtafuta msanii ambaye single yake ilipewa airtime kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa tano usiku na radio kubwa ya watu na nyimbo yenyewe ilikuwa sebene ila hamkuliona.

Kuna wasanii walipo zindua album media zile kubwa yaani TV na radio wame zizungumizia album zao mwezi mzima wanazipa promo, hamjaliona, sasa msanii ambaye airtime anapata radio moja unasema mfukoo wako, vipi hao wengine.
Hata ukitumia pesa yako mfukoni au media yako, bado hizo Ni gharama zinahesabika.

Ukiamua kjiweka LIVE tukio zima unazindua EP au unampokea Koffi Olomide bado Ni gharama unatakiwa kuhesabu.

Unakaza fuvu kuwa media zinapendelea.watu, hivi ukiacha EATV, Clouds na EFM Kuna media zozote ambazo zilisusa kupiga ngoma za wasafi.

Au nchi hii media Ni hizo tatu?

Kweli wewe Ni Mkuu Ndugu yangu. Unafanya kazi kwenye viduka vya mikoba Happ Tabata Nini?

IMG_20220312_105312.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] EP imechunda haina hata maajabu, yaan imejaa nongwa, mipasho na ukuda, woiiiiiiiih.

Sasa lulu, kiba, mange wanahusu nn? Asingewataja isingeuza? Hahahahah kaishiwaaaaaaaah. Domokayaaaaaaaaaaaaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hata ukitumia pesa yako mfukoni au media yako, bado hizo Ni gharama zinahesabika.

Ukiamua kjiweka LIVE tukio zima unazindua EP au unampokea Koffi Olomide bado Ni gharama unatakiwa kuhesabu.

Unakaza fuvu kuwa media zinapendelea.watu, hivi ukiacha EATV, Clouds na EFM Kuna media zozote ambazo zilisusa kupiga ngoma za wasafi.

Au nchi hii media Ni hizo tatu?

Kweli wewe Ni Mkuu Ndugu yangu. Unafanya kazi kwenye viduka vya mikoba Happ Tabata Nini?
Harmonize, Mbosso,Kiba, Jux, Vanny na Mondi nk A list ya bongofleva wote wanapromoti kazi zao YouTube na Instagram.

Halafu sijui unaaamisha nini, hivi Mondi anagemfuata Koffi DRC na Crew yote DRC mpaka video production,je asingeingia gharama?

Hivi ni biashara gani gani mtu anafanya bila kuwekeza au kuingia gharama, maana hata anayeuza uchi lazima avae vizuri ?

Haya kwani gharama aliyo ingia hakumlipa views 100m na show kibao ktk nchi zinazozungumza Kiafrica.

Wewe lete mawazo ya biashara za genge, more unavyospend na kuwekeza ndivyo faida inaingia.

Nimezingumzia hizo media sababu ukitaja top 5 ya redio zinazo sikilozwa na vijana wengi hizo zipo na ndicho nilicho maanisha.


Mziki ni biashara na ili upate hela lazima uwekeze na lazima upromoti mziki wako katika platforms za kimataifa na hamna msanii ambaye hajawekeza huko hayupo.
 
Back
Top Bottom