Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 601
EP MBOVU KINOMA, DOMO ANABEBWA NA UMAARUFU WAKE LAKINI IN TERMS OF WORK GOT NOTHING TO OFFER.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute muda huu hata hela ya mihogo ya kunywea chai huna... hii ndio tz bhana.EP MBOVU KINOMA, DOMO ANABEBWA NA UMAARUFU WAKE LAKINI IN TERMS OF WORK GOT NOTHING TO OFFER.
Tafuta hela haya makasiriko hayatakusaidiaEP MBOVU KINOMA, DOMO ANABEBWA NA UMAARUFU WAKE LAKINI IN TERMS OF WORK GOT NOTHING TO OFFER.
Na kweli sina ila hainizuii kusema ukweli, usikalili maisha.ukute muda huu hata hela ya mihogo ya kunywea chai huna... hii ndio tz bhana.
ANAVOIMBA SIKU IZI KAMA UNDERGROUND.Diamond hajui
HIVI NI YEYOTE AU YOYOTEHaloo nimechelewa sana yaani hata sijaisikia ngoma yake yeyote.
Usikalili[emoji777][emoji777]Na kweli sina ila hainizuii kusema ukweli, usikalili maisha.
Huo umaarufu hao wengine wanafeli wapi mpaka wanashindwa kuwa nao ili uwasaidie pia?EP MBOVU KINOMA, DOMO ANABEBWA NA UMAARUFU WAKE LAKINI IN TERMS OF WORK GOT NOTHING TO OFFER.
Inategemea umesimamia muktadha gani maana wote tupo sahihi.HIVI NI YEYOTE AU YOYOTE
Uandishi mbovu unaakisi akili ya aliyeandika, hiyo elimu adhimu uliyoitoa hapo sidhani kama ana upeo wa kuelewa na kuona alichokosea.Usikalili[emoji777][emoji777]
Usikariri[emoji818][emoji818]
HUELEWEKI, INSHORT EP NI MBOVU.Huo umaarufu hao wengine wanafeli wapi mpaka wanashindwa kuwa nao ili uwasaidie pia?
Watu maarufu pia hu-flop pindi wanapotoa kazi mbaya.
Muendelezo wa kazi nzuri ndiyo unaomsimasha katika umaarufu kwani kazi zake zinapendwa na wengi, of course haiwezekani kazi za artist yoyote zikapendwa na watu wote lakini kama zimependwa na walio wengi hiyo ni success. Wapo wengine wanachukia kazi za msanii kwa sababu tu wamejawa na hate pamoja na wivu, hilo kundi pia lipo.
Sasa kama mbovu hizi record imeweka inatoa wapi? [emoji23][emoji23]HUELEWEKI, INSHORT EP NI MBOVU.
Sasa huo unaarufu wengine wanafeli wapi? Au umaarufu wa kaz mbovu? [emoji2]EP MBOVU KINOMA, DOMO ANABEBWA NA UMAARUFU WAKE LAKINI IN TERMS OF WORK GOT NOTHING TO OFFER.
HAWA NDO WALE WALIOKATA TAMAA NA WANAOCHUKIA MAFANIKIO YA WENZAOEP MBOVU KINOMA, DOMO ANABEBWA NA UMAARUFU WAKE LAKINI IN TERMS OF WORK GOT NOTHING TO OFFER.
hata sijaisikia ngoma yake yeyote.
Matumizi sahihi ya 'yoyote' na 'yeyote'HIVI NI YEYOTE AU YOYOTE